Rushwa Ilivyo Muharibia Prof. Anna Tibaijuka

Rushwa Ilivyo Muharibia Prof. Anna Tibaijuka

Wasomi wa Tanzania kama huyu Tibaijuka ni very overrated.

Nilimsikiliza last week kahojiwa na Clouds FM.

Wakamuuliza kuhusu kuandika vitabu, anasema aandike atasoma nani sasa?

Yani katika usomi wake wote, hajaweza kufikiri kuandika for posterity, anaona kuandika ni kwa ajili ya watu wa sasa tu.

Nikasema hawa ndio ma profesa wetu, wasomi!
Nilimsikiliza

She was like Ana hang over

Hakujipanga
 
Mungu wa wapi huyo aliyemweka nje ya siasa Prof Tibaijuka!? Si alistafu siasa mwenyewe Kwa kinywa chake alisema 2020 hagombei tena!!
Baada ya kusoma upepo, alikuwa haivi chungu kimoja na Magu

WanaMuleba hao ndio walikuwa washamchoka kabisa

Kumbuka kipindi kile yupo kata ya Nshamba alishawahi kurushiwa vifungashio vya vodka kisa alishawahi kusema 'vijana wa Nshamba ni wanywa viroba'
 
Wanasiasa wakianza hua ni wazuri. Kadri siku zinavyozidi kwenda wanaingiwa na tamaa
 
Umeamsoma lakini? Prof. Anna ni professor wa kweli siyo hizo honorary degree za wengine.
Prof. ameandika vitabu kadhaa mfano ni Building Prosperity na Strategies for Small Agricultural Development in West Lake Region.
Humu tupo wajuaji wengi mno...
 
Wasomi wa Tanzania kama huyu Tibaijuka ni very overrated.

Nilimsikiliza last week kahojiwa na Clouds FM.

Wakamuuliza kuhusu kuandika vitabu, anasema aandike atasoma nani sasa?

Yani katika usomi wake wote, hajaweza kufikiri kuandika for posterity, anaona kuandika ni kwa ajili ya watu wa sasa tu.

Nikasema hawa ndio ma profesa wetu, wasomi!

Sikiliza tena clip yake vizuri maana naona hukuelewa hoja yake kabisa.

Information analysis and evaluation ni taaluma ya watu.

Usivamie mambo haya maana yanakupita kimo.

Alichosema ni kwamba kama akiandika kitabu hicho kitakuwa na maudhui yaliyoshiba kiasi kwamba kitatikisa nchi.
 
Umeamsoma lakini? Prof. Anna ni professor wa kweli siyo hizo honorary degree za wengine.
Prof. ameandika vitabu kadhaa mfano ni Building Prosperity na Strategies for Small Agricultural Development in West Lake Region.
Akafundishe huko

Ova
 
Sikiliza tena clip. Hukuelewa hoja yake. Information analysis and evaluation ni taaluma ya watu. Usivamie mambo haya.

Alichosema ni kwamba kama akiandika kitabu hicho kitakuwa na maudhui yaliyoshiba kiasi kwamba kitatikisa nchi.
Hakukejeli kwamba akiandika nani atasoma?

Kwa nini asiandike tuone kama kitatikisa au hakitatikisa nchi anatutishia nyau?

Huyo ni mla rushwa tu, anaogopa skeletons in her closet, aache longolongo.
 
That is irrelevant to my point.

My point ni kwamba kaulizwa aandike kuhusu maisha yake, akasema aandike atasoma nani?

Kwanza wa kusoma tupo. Mimi sasa hivi nasona kitabu cha Mwapachu kimechapishwa mwaka jana. Kwa hivyo watu wa kusoma tupo.

Halafu pili, msomi kama yeye anatakiwa kujua kuwa kuandika ni kuweka record for posterity, hata kama watu wa kusoma hawapo, miaka ijayo watasoma tu.

Tunatofautiana standards.

That answe was ignorant. Especially from a professor.


View: https://youtu.be/KgbOViJnBfA?si=bij_D5-ZIi60CSbB

Hoja yake mama hapo ilikuwa Watanzania wengi hawana utamaduni wa kusoma vitabu! Hata akiandika wasomaji hawapo!
 
Uroho tu.

Huyu mama ni kati ya watu waliokula maisha, tangu anasoma, yuko mke wa balozi mpaka kufanya kazi UN. Huyu mama alikuwa Special Envoy wa UN hapo UN HABITAT.

Huyu mama maisha yake yalishakuwa fresh kitambo sana, ana pensheni ya umoja wa mataifa, tena ya top levels za kina Dr. Asha Rose Migiro na Dr. Augustine Mahiga wala hakuhitaji hivi virushwarushwa vya Bongo.

Kajichafulia mwenyewe CV kwa uroho tu.
Tiba sidhani kama anahitaji tena kuwa na CV kubwa kuzidi hapo alipofikia! Serikali ya Mkwere ilikuwa ya wapigaji, sasa yeye ni nani hata akatae? Na nafikri kule kwenye ardhi alipiga sana kule Kigamboni mpaka Ndugulile akalia!
 
Hoja yake mama hapo ilikuwa Watanzania wengi hawana utamaduni wa kusoma vitabu! Hata akiandika wasomaji hawapo!
Hiyo si hoja ya kisomi.

Kwanza ni hoja ya kuangalia wengi, a logical fallacy. Tupo tunaosoma. Nimetaja vitabu vya waandishi wa Tanzania vilivyotoka hivi karibuni ambavyo nimesoma, see post #14. Kila mwaka naletewa vitabu kutoka Tanzania angalau mara mbili. Yeye kutoandika ni kutunyima.

Pili, msomi haandiki kwa watu waliopo sasa tu, msomi anaandika hata kwa vizazi vijavyo, posterity.

Tatu, si lazima wasome Watanzania tu, kuna dunia nzima ingeweza kufaidika na maandiko yake. Huyu ni mtu wa kimataifa, kakaa kwenye mizunguko ya kibalozi, kafanya kazi Umoja wa Mataifa UN HABITAT, anatakiwa awe anaijua dunia.

Sasa msomi gani anakuwa na mawazo finyu hivyo ya kuangalia leo tu, kutoangalia vizazi vijavyo?

Msomi gani anakuwa na mawazo finyu hivyo ya kuangalia Watanzania tu, wakati kuna dunia nzima ya watu wanaosoma huko?
 
Wasomi wa Tanzania kama huyu Tibaijuka ni very overrated.

Nilimsikiliza last week kahojiwa na Clouds FM.

Wakamuuliza kuhusu kuandika vitabu, anasema aandike atasoma nani sasa?

Yani katika usomi wake wote, hajaweza kufikiri kuandika for posterity, anaona kuandika ni kwa ajili ya watu wa sasa tu.

Nikasema hawa ndio ma profesa wetu, wasomi!
Ana kibri..!
 
Bila shaka Prof. Anna Tibaijuka yupo miongoni mwa binafamu na akina mama wenye CV zilizoshiba. Kitaaluma na uzoefu wake wa kazi katika ofisi za juu kabisa duniani singemfanya awe mama wa mfano duniani.
Ila nyota yake ilizimwa kama mshumaa baada ya yeye kuingia kwenye siasa. Kutokana na uchapa kazi wake na elimu yake, wanamuleba wakamuamini awe mwakilishi wao. Kuchaguliwa kuwa mbunge kukampa nafasi ya kupata Uwaziri. Madudu aliyoyafanya huko hata yeye mwenyewe nafsi yake huwa inamsuta. Sakata la TEGETA ESCROW likamuumbua sana hadi anakosa namna ya kujitetea. Akajawa na kibri na Mungu akaona amuweke nje ya siasa.

ANNA NI TUNU ILIYO HARIBIKA.
Tulimshangaa alipoingia siasa za kuchafuana za ki ccm

Tunamkumbuka miaka ya 90 alipoanzisha bawacha, ccm wafamfanyia figisu akaenda zake UN
 
Back
Top Bottom