Rushwa kushinikiza Bandari ya Bagamoyo: Nani anatoa Pesa?

Rushwa kushinikiza Bandari ya Bagamoyo: Nani anatoa Pesa?

Mnayemuongelea ni mtu amefanya kazi mpaka mashirika ya kimataifa ukiacha kwamba amekuwa Waziri wa serikali yetu kwa muda plus Makamu wa Rais.

Ukiongelea hizi ishu za uwekezaji ana exposure kubwa kushinda wote humu mnaojinasibu kama wataalamu sana.

Nadhani yupo sahihi sana acheni wawekezaji waje, terms tutazinegotiate vizuri sababu mifano tumeshaona. Tusiwe na mawazo mgando
 
Tatizo liko private sekta kumiliki sehemu nyeti kama bandari ya nchi. Hizo sheria na taratibu unazosema ni changa la macho kwa sababu zinatu

Kuna clip inaonyesha mama akipiga chapuo kujengwa kwa bandari ya Bagamoyo Kwa PP.


Naomba kuuliza wanajamvi yafuatayo:
1. Kwanini njia pekee ya kujenga bandari ya Bagamoyo iwe ni Kwa ubia pekee? Kwanini tusijenge Kwa mtindo wa reli ya SGR?

2. Je, Kenya nayo ikapunua bandari na msumbiji? Na Congo Kwa njia ya Ubia Kwa huyu mtu huyu huyu akashindwa kupata Hela zake akakalia bandari Kwa miaka mingi Zaidi.

3. Inamaana hatujifunzi ya Kenya baada ya kuingia mkataba wa PP hawarusiwi kueneleza reli yoyote.

4. Haraka ya Serikalini ya awamu ya Sita Ni nini?

5. Tanzania haijawahi kunufaika Na mkataba wowote wa ubia toka NBCbank Reli, Maji, Umeme, Viwanda kila sehemu
Kumbe hakuna hata kitu kimoja unachokifahamu juu ya ujenzi wa bandari hiyo!!zaidi ya kumezeshwa hayo matango poli!!
Kwanza hiyo bandari sio kama ni bandari tu kama hizi zilizopo ukanda huu wote wa Africa, hivyo huwezi ijenga wewe kama wewe!!wachina wakijenga hiyo bandari na viwanda vingi hapo, mi jimeli mikubwa itakuwa inatoka china na kuleta bidhaa hadi hapo hapo sasa zinakuja meli ndogo ndio zinachukua mizigo hiyo hapo na kupeleka kwenye nchi zao badala ya kuzifuata china.sasa hapo ile hoja kuwa hutakiwi kuendeleza bandarini yoyote kwenye ukanda huo inatoka wapi?kwani majukumu ni tofauti.
Mkataba wake wa kuiendesha ni miaka 40, sasa hoja ya kuwa asipopata pesa yake ataichukua inatoka wapi?
Wakati huo kodi za serikali zote zinakusanywa.
Ukiwasikia wataalam wa mambo ya majini(marine) hiyo bandari ina manufaa sana, achana na wana siasa.na Kenya wanasubiria tu lishindikane hapa waitumie nafasi hiyo , halafu kama kawaida yetu (wazee wa nongwa)tuanze kuwaona wachawi wetu!!!
 
Key word, TERMS. Nadhani mengine yote ni ngonjera tu, kazi ya serikali iwe ni kukusanya kodi tu.
Ila makampuni ya Kichina huja na tricks nyingi pia huwa na backup ya serikali yao ambayo iko katika kutafuta kuwa influence sehemu mbali mbali duniani hivyo ni bora kuangalia makampuni yasiyo ya Kichina na wala yasiwe na connection na China.
Hiyo bandari sio kama bandari hizi nyingine mkuu, elewa hilo kwanza, hii itakuwa ni EPZ, ambayo wachina watakuwa wanatengeneza baadhi ya bidhaa zao , na kuziuza duniani, na nyingine mi meli mikubwa itakuwa inaleta mizigo toka china, inashusha hapo wafanyabiashara wengine afrika ndio wanachukulia mizigo yao hapo , kwa sasa mchina karibia soko lote la afrika amelishika yeye, sasa ukimpa mrusi/mturuki hilo lengo litafikiwa?!!na hapa wazungu ndio watia fitina wakubwa!!
Serikali yetu ingekuwa na desturi za kuweka mambo hadharani, ingeweka tu wataalam wauchambue, then tuamue kuliko , hizi kila mtu ana lake.
 
Mama hajashinikiza kujengwa kwa bandari ya bagamoyo. Kwanza clip unayo isema alikuwa anaongelea bandari ya Dar es Salaam. Hoja yake ilikuwa kwa nini tunaipanua kwa vipande vipande? Yeye anaona ni bora aipanue yote hata kama itabidi atumie fedha za wawekezaji.

Msingi wa hoja ya Rais uko kwenye kitu kinanacho itwa opportunity cost. Hoja ya mama iko hivi, kwa mfano sasa tunavyo jenga vipande vipande itatuchukua miaka 30 kumaliza. Je katika kipindi hiki cha miaka 30 tutakuwa tumepoteza kiasi gani. Je kwa mfano tukichukua mwekezaji akaweka hela sasa hivi...bandari ikapanuliwa yote..je tutakuwa tumepata faida kiasi gani au hasara kiasi gani baada ya miaka 30. Kupata jibu ni mpaka ufanye analysis nanuwe na data.

Tatizo kubwa ambalo naliona vichwani mwa watu wengi ni kuto elewa uchumi wa nchi unavyo endeshwa. Na pia mazoea ya kwamba bandari, reli ni lazima zijengwe na serikali ndo nchi itapata faida.

Nawahakikishia..tunaweza tuka binafisisha reli zote, barabara zote, bandari zote n.k na nchi ikawa na mapato ya kutosha zaidi na ika imarika zaidi.

Kazi ya serikali siyo ku run hizo tediuos processes...kazi ya serikali ni kukusanya kodi na kuzitumia katika huduma za jamii.
Stupidity start with the concern of not knowing which direction to follow , then comes with the concept which concern to follow
 
Hiyo bandari sio kama bandari hizi nyingine mkuu, elewa hilo kwanza, hii itakuwa ni EPZ, ambayo wachina watakuwa wanatengeneza baadhi ya bidhaa zao , na kuziuza duniani, na nyingine mi meli mikubwa itakuwa inaleta mizigo toka china, inashusha hapo wafanyabiashara wengine afrika ndio wanachukulia mizigo yao hapo , kwa sasa mchina karibia soko lote la afrika amelishika yeye, sasa ukimpa mrusi/mturuki hilo lengo litafikiwa?!!na hapa wazungu ndio watia fitina wakubwa!!
Serikali yetu ingekuwa na desturi za kuweka mambo hadharani, ingeweka tu wataalam wauchambue, then tuamue kuliko , hizi kila mtu ana lake.
Mifano ya China iko mingi sana si Afrika tu bali nchi nyingi za njaa njaa, wao lazima kwanza watangulize rushwa ya maana kwa watia signature hizo contracts zenyewe. Usitegemee yatakayokuwa hadharani na kudaiwa ndiyo terms yatakuwa halisia.
Bora Wazungu au Japanese au South Korea, hizo ni nchi zenye makampuni yenye uwezo kitaaluma na vifaa na mabenki makubwa yanaweza kuwekeza kwao(kwa companies zenye financial records nzuri).
Kuna nchi 'zinalia' kuingia 'cha kike' kwa Mchina mifano halisi ni jirani zetu wa Kenya na Zambia, si kwamba nchi hizo hazina wataalam wa kukagua mikataba bali wakati mnatiwa ndimu kunakuwa na watu wenu ambao inakuwa wameshadakishwa chao na hao ndiyo wanatumika 'kuwakarabati' nyinyi(sisi) na taifa kwa ujumla. Mchina haaminiki,ana rekodi chafu.
 
Mnasumbuliwa kukosa exposure!

Miradi mingi ya bandari za kisasa duniani inajengwa kwa utaratibu wa PPP na mafanikio ni makubwa!
Issue sio exposure hapa, muhimu hiyo mikataba iwekwe wazi, huko unamosema huyo PPP ilifanikiwa hawafichi mikataba kama mnavyofanya nyie.
 
Mama hajashinikiza kujengwa kwa bandari ya bagamoyo. Kwanza clip unayo isema alikuwa anaongelea bandari ya Dar es Salaam. Hoja yake ilikuwa kwa nini tunaipanua kwa vipande vipande? Yeye anaona ni bora aipanue yote hata kama itabidi atumie fedha za wawekezaji.

Msingi wa hoja ya Rais uko kwenye kitu kinanacho itwa opportunity cost. Hoja ya mama iko hivi, kwa mfano sasa tunavyo jenga vipande vipande itatuchukua miaka 30 kumaliza. Je katika kipindi hiki cha miaka 30 tutakuwa tumepoteza kiasi gani. Je kwa mfano tukichukua mwekezaji akaweka hela sasa hivi...bandari ikapanuliwa yote..je tutakuwa tumepata faida kiasi gani au hasara kiasi gani baada ya miaka 30. Kupata jibu ni mpaka ufanye analysis nanuwe na data.

Tatizo kubwa ambalo naliona vichwani mwa watu wengi ni kuto elewa uchumi wa nchi unavyo endeshwa. Na pia mazoea ya kwamba bandari, reli ni lazima zijengwe na serikali ndo nchi itapata faida.

Nawahakikishia..tunaweza tuka binafisisha reli zote, barabara zote, bandari zote n.k na nchi ikawa na mapato ya kutosha zaidi na ika imarika zaidi.

Kazi ya serikali siyo ku run hizo tediuos processes...kazi ya serikali ni kukusanya kodi na kuzitumia katika huduma za jamii.
We nani alikwambia kuwa kazi ya serikali ni kodi tu? Ulikaririshwa na mabeberu na naomba uende kwao uone kama beberu ka binafsi sha kila kitu .RIP jembe letu
 
Kumbe hakuna hata kitu kimoja unachokifahamu juu ya ujenzi wa bandari hiyo!!zaidi ya kumezeshwa hayo matango poli!!
Kwanza hiyo bandari sio kama ni bandari tu kama hizi zilizopo ukanda huu wote wa Africa, hivyo huwezi ijenga wewe kama wewe!!wachina wakijenga hiyo bandari na viwanda vingi hapo, mi jimeli mikubwa itakuwa inatoka china na kuleta bidhaa hadi hapo hapo sasa zinakuja meli ndogo ndio zinachukua mizigo hiyo hapo na kupeleka kwenye nchi zao badala ya kuzifuata china.sasa hapo ile hoja kuwa hutakiwi kuendeleza bandarini yoyote kwenye ukanda huo inatoka wapi?kwani majukumu ni tofauti.
Mkataba wake wa kuiendesha ni miaka 40, sasa hoja ya kuwa asipopata pesa yake ataichukua inatoka wapi?
Wakati huo kodi za serikali zote zinakusanywa.
Ukiwasikia wataalam wa mambo ya majini(marine) hiyo bandari ina manufaa sana, achana na wana siasa.na Kenya wanasubiria tu lishindikane hapa waitumie nafasi hiyo , halafu kama kawaida yetu (wazee wa nongwa)tuanze kuwaona wachawi wetu!!!
Hizi fix zako umezitoa wapi?
 
Mama hajashinikiza kujengwa kwa bandari ya bagamoyo. Kwanza clip unayo isema alikuwa anaongelea bandari ya Dar es Salaam. Hoja yake ilikuwa kwa nini tunaipanua kwa vipande vipande? Yeye anaona ni bora aipanue yote hata kama itabidi atumie fedha za wawekezaji.

Msingi wa hoja ya Rais uko kwenye kitu kinanacho itwa opportunity cost. Hoja ya mama iko hivi, kwa mfano sasa tunavyo jenga vipande vipande itatuchukua miaka 30 kumaliza. Je katika kipindi hiki cha miaka 30 tutakuwa tumepoteza kiasi gani. Je kwa mfano tukichukua mwekezaji akaweka hela sasa hivi...bandari ikapanuliwa yote..je tutakuwa tumepata faida kiasi gani au hasara kiasi gani baada ya miaka 30. Kupata jibu ni mpaka ufanye analysis nanuwe na data.

Tatizo kubwa ambalo naliona vichwani mwa watu wengi ni kuto elewa uchumi wa nchi unavyo endeshwa. Na pia mazoea ya kwamba bandari, reli ni lazima zijengwe na serikali ndo nchi itapata faida.

Nawahakikishia..tunaweza tuka binafisisha reli zote, barabara zote, bandari zote n.k na nchi ikawa na mapato ya kutosha zaidi na ika imarika zaidi.

Kazi ya serikali siyo ku run hizo tediuos processes...kazi ya serikali ni kukusanya kodi na kuzitumia katika huduma za jamii.
Bandari ya Dar ni kama roho ya uchumi wa nchi, tukichomeka muwekezaji humo tunaweza kuja kujuta siku za usoni, tumeona madhara ya uwekezaji kwenye madini na viwanda tulivyo vibinafisha.

Tungejikita kujitegemeza wenyewe kwenye baadhi ya mambo hii ingetujengea kujiamini zaidi, hakuna kitu kibaya kama kujihisi hauwezi. Wantanzania tulishaanza kujiamini kwamba tunaweza, ila taratibu naona imani inaanza kutupungua.
 
Nawahakikishia..tunaweza tuka binafisisha reli zote, barabara zote, bandari zote n.k na nchi ikawa na mapato ya kutosha zaidi na ika imarika zaidi.
Tulijaribu kwa kubinafsisha reli (na mashirika mengine fulani) matokeo yake ikafa kabisa!
Asante Magufuli kwa kuifufua reli yetu.
 
Wenye mawazo mgando ya ujamaa hawawezi kuelewa kabisa haya mambo
Mama hajashinikiza kujengwa kwa bandari ya bagamoyo. Kwanza clip unayo isema alikuwa anaongelea bandari ya Dar es Salaam. Hoja yake ilikuwa kwa nini tunaipanua kwa vipande vipande? Yeye anaona ni bora aipanue yote hata kama itabidi atumie fedha za wawekezaji.

Msingi wa hoja ya Rais uko kwenye kitu kinanacho itwa opportunity cost. Hoja ya mama iko hivi, kwa mfano sasa tunavyo jenga vipande vipande itatuchukua miaka 30 kumaliza. Je katika kipindi hiki cha miaka 30 tutakuwa tumepoteza kiasi gani. Je kwa mfano tukichukua mwekezaji akaweka hela sasa hivi...bandari ikapanuliwa yote..je tutakuwa tumepata faida kiasi gani au hasara kiasi gani baada ya miaka 30. Kupata jibu ni mpaka ufanye analysis nanuwe na data.

Tatizo kubwa ambalo naliona vichwani mwa watu wengi ni kuto elewa uchumi wa nchi unavyo endeshwa. Na pia mazoea ya kwamba bandari, reli ni lazima zijengwe na serikali ndo nchi itapata faida.

Nawahakikishia..tunaweza tuka binafisisha reli zote, barabara zote, bandari zote n.k na nchi ikawa na mapato ya kutosha zaidi na ika imarika zaidi.

Kazi ya serikali siyo ku run hizo tediuos processes...kazi ya serikali ni kukusanya kodi na kuzitumia katika huduma za jamii.
 
Legacy ya ujamaa imeiganda nchi
Huu ujamaa sijui utatutoka lini... Yaani mawazo yetu ni kuwa kila mali lazima imilikiwe na serikali. Tubadilike!!

Private sector ikimiliki tatizo liko wapi. Cha muhimu ni Kuja na sheria na Taratibu nzuri za kupata kipato cheti.... Hata wakimiliki kwa miaka 100 ni sawa tu. Nchi kama RSA au USA utaikuta mpaka barabara zinaxomilikiwa na kampeni binafsi... Na mambo bado yanaendelea kama kawaida. Kitu kama hiki ni unthinkable Tanzania.
 
Usichanganye Bandari,TRA na Benki kuu katika kapu moja.
Tatizo sio private sector, tatizo ni aina ya sehemu ya kuwekeza. Kuna sehemu ni nyeti. Mfano; Bandari, TRA, Bank kuu sehemu Kama hizo huwezi kuachia private sector.
Pia kwa nchi zetu za kiafrica bado Sana kuweza kupataa mapato vizuri sehemu Kama hizo hata ukitumia private sectors, mfano Reli tuliwapa hao private sector lakini najua unajua kilichotokea
 
Uko sahihi kabisa
Yes maana hujui hata majeshi siku hizi yanakuwa outsourced kwa makampuni binafsi.

Hujui kwamba kitu kama bandari kuendeshwa na private sector Serikali haitakuwa na information yoyote as if itaenda kulala na kuacha mambo yajiendee.

Ndugu zangu, eleweni kwamba hivyi vyombo vyote vinavyo endeshwa na serikali, kama vingeendeshwa na private sector vina uwezo wa kuzalisha zaidi ya mara mbili ya vinavyo zalisha sasa. Serikali ina urasimu na ni ngumu kuendesha kitu chochote kile kibiashara.

Ndo maana wenzetu walio endelea waliyaona haya mapema wakaamua private sector ndo iwe engine ya uchumi.

Najua wanasiasa wengi hawapendi hizi shughuli ziendeshwe na private sector kwa sababu ya masilahi yao. Watakuwa wajumbe wa board, watakuwa wajumbe wa kamati, watatembelea hayo mashirika na kujipatia mpunga. Private sector ikichukua hawatapata hizo nafasi.
 
Washamba wa kijamaa wanairudisha nyuma sana hii nchi
Marekani kule mashirika ya reli, bandari nyingi zaidi ukiachana na naval bases za kijeshi, mabenki yote ukiondoa Federal Reserve, mashirika yote ya ndege, makampuni yote ya kufua na kusambaza umeme, televisheni zote na redio na mambo mengine mengi yanamilikiwa na sekta binafsi.

Serikali yao inafanya kuwa na authority kama Federal Communications Commission, Food and Drug Administration, etc. Hata nchi nyingi zilizoendelea zinafanya hivi. Kama tunafurahia umasikini tuirudishie pia serikali mamlaka ya kuuza sukari kama kipindi cha Nyerere
 
Serikali haitakiwi ishindane na wananchi wake katika biashara
We nani alikwambia kuwa kazi ya serikali ni kodi tu? Ulikaririshwa na mabeberu na naomba uende kwao uone kama beberu ka binafsi sha kila kitu .RIP jembe letu
 
Tutafute roho nyingine sita tuwe kama paka badala ya kutegemea roho moja tu.
Bandari ya Dar ni kama roho ya uchumi wa nchi, tukichomeka muwekezaji humo tunaweza kuja kujuta siku za usoni, tumeona madhara ya uwekezaji kwenye madini na viwanda tulivyo vibinafisha.

Tungejikita kujitegemeza wenyewe kwenye baadhi ya mambo hii ingetujengea kujiamini zaidi, hakuna kitu kibaya kama kujihisi hauwezi. Wantanzania tulishaanza kujiamini kwamba tunaweza, ila taratibu naona imani inaanza kutupungua.
 
Pesa ya rushwa itakuwa inatolewa na Kikwete na wabia wake wachina. Huo mradi ulikuwa ni white elephant yake aliyowaahidi wachina baada ya mtoto wa mfalme kudabwa na sembe, lazima atakuwa anafight ili kutimiza ahadi.
 
Reli haijawahi kubinafsishwa, UDA walipewa makada wa chama na viwanda vingi vilibinafsishwa kwa makada wakati vilikua vinaelekea kufa vikiwa mikononi mwa serikali
Tulijaribu kwa kubinafsisha reli (na mashirika mengine fulani) matokeo yake ikafa kabisa!
Asante Magufuli kwa kuifufua reli yetu.
 
Back
Top Bottom