Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Mnayemuongelea ni mtu amefanya kazi mpaka mashirika ya kimataifa ukiacha kwamba amekuwa Waziri wa serikali yetu kwa muda plus Makamu wa Rais.
Ukiongelea hizi ishu za uwekezaji ana exposure kubwa kushinda wote humu mnaojinasibu kama wataalamu sana.
Nadhani yupo sahihi sana acheni wawekezaji waje, terms tutazinegotiate vizuri sababu mifano tumeshaona. Tusiwe na mawazo mgando
Ukiongelea hizi ishu za uwekezaji ana exposure kubwa kushinda wote humu mnaojinasibu kama wataalamu sana.
Nadhani yupo sahihi sana acheni wawekezaji waje, terms tutazinegotiate vizuri sababu mifano tumeshaona. Tusiwe na mawazo mgando