bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kesi ni biashara Sasa umekula buku 5 hata rim paper tu ya kuandikia kesi yako upati kwann usifungwe miaka Kama mfano wa kuonyesha tunafanya kazi.Jela ni kwa ajili ya watu masikini.Inasemekana, wala rushwa wanaofungwa kwa kosa la rushwa ni wale tu wenye ",tuhela twa dagaa". Wenye mihela hawafungwi.