Rushwa Tanzania: Ni Kwa sababu ya njaa au tabia

Inasemekana, wala rushwa wanaofungwa kwa kosa la rushwa ni wale tu wenye ",tuhela twa dagaa". Wenye mihela hawafungwi.
Kesi ni biashara Sasa umekula buku 5 hata rim paper tu ya kuandikia kesi yako upati kwann usifungwe miaka Kama mfano wa kuonyesha tunafanya kazi.Jela ni kwa ajili ya watu masikini.
 
Kwa kweli inatia uchungu sana!!
 
Chanzo kikubwa cha rushwa nchi hii ni wanasiasa kujipendelea mafao makubwa na kuwaacha watumishi wa umma wengi wao wakiwa na njaa kali. Mbunge analipwa Tsh15m kwa mwezi na marupurupu kibao. Akimaliza muda wake wa miaka mitano mafao ni Tsh300m na ushee. Sasa njoo kwa watumishi miaka 30 halafu mafao na pensheni ni upuuzi mtupu.
 
Mkuu huna habari? Hata wabunge wanakula rushwa!

Hufahamu? Mawaziri wananufaika na rushwa. Wakubwa kwa wadogo ni waarhirika wa rushwa. Rushwa ipo mijini na vijijini. Hata kwa wakulima rushwa inatembea.
 
Tanzania Rushwa ni FURSA ya kutoka kimaisha. Hayupo anaeweza kusita kuchukua Rushwa anapopata nafasi, kwanza nafsi yake itamsuta na kumlaumu sana akilazia damu fursa hiyo pekee na muhimu sana ya kutoka na kutoboa maisha. Kwanza akiacha kuchukua atachekwa na jamii 🤓
 
Tena siku hizi Rushwa Watu wanapatana Kama biashara,tena wazi wazi kabisa bila kificho, zamani Rushwa ndiyo ilikua inafanywa siri sana,hata mpokeaji hana muda wa kupatana,anapokea anachopewa tu na hakuna kulalamika Kama siku hizi mpokeaji kila anapokea Rushwa ndiyo anazidi taka Rushwa kubwa!!
 
Bila kutoa rushwa hii nchi utangoja Sana kupata haki Yako utakuja kupata ukiwa kaburini
 
Bila kutoa rushwa hii nchi utangoja Sana kupata haki Yako utakuja kupata ukiwa kaburini
Wanyonge Mahakamani na haki zao sijui inakuwaje!? Naona wengi lazima watakua wanapoteza haki zao kwa kukosa kutoa Rushwa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…