Katika shauri dhidi ya Mbowe, mlalamikaji ni Serikali, na Serikali kiongozi wake mkuu ni Rais. Hivyo mlalamikaji katika kesi hii, ni Rais.
Wakati kesi inasubiriwa kutolewa hukumu, mlalamikaji anatoa cheo kwa hakimu anayeendesha kesi ambayo yeye ni mlalamikaji.
Katika mfumo wa utoaji haki, hii siyo rushwa ya wazi?
Hukumu aliyoitoa huyu jaji ambaye amepewa cheo na mlalamikaji, itaaminiwa vipi kuwa haijaathiriwa na rushwa ya kupandishwa cheo?
Wataalam wa masuala ya sheria na masula ya rushwa, mnalionaje hili? Tupeni elimu.
Wakati kesi inasubiriwa kutolewa hukumu, mlalamikaji anatoa cheo kwa hakimu anayeendesha kesi ambayo yeye ni mlalamikaji.
Katika mfumo wa utoaji haki, hii siyo rushwa ya wazi?
Hukumu aliyoitoa huyu jaji ambaye amepewa cheo na mlalamikaji, itaaminiwa vipi kuwa haijaathiriwa na rushwa ya kupandishwa cheo?
Wataalam wa masuala ya sheria na masula ya rushwa, mnalionaje hili? Tupeni elimu.