chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 20,834
- 26,217
Habari Wana Jamii Forums,..
Kuna hili suala la rushwa ya ngono ambalo limekithiri vyuoni.
Baadhi ya wahadhiri wa vyuo vikuu wanalazimisha mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi wao, inapotokea mwanafunzi kumkatalia mhadhiri basi anakuwa matatani kwani wahadhiri hao huwatamkia waziwazi wanafunzi hao kwamba watawafelisha katika mitihani yao.
Ikumbukwe kuna wanafunzi wanafaulu kwa jitihada zao binafsi na kuna wale wanaofaulu kwa kutoa rushwa ya ngono.
Hebu tutafakari basi, ni nini kifanyike maana suala hili lina changamoto kubwa.
Je mwanafunzi akatae kutoa rushwa ya ngono afeli au atoe rushwa ya ngono apate kufaulishwa!!
Pia nini kifanyike kwa baadhi ya wahadhiri wenye tabia hii chafu ya kutaka rushwa ya ngono ambayo inawaathiri wanafunzi katika taaluma!!
Nawasilisha,...
Kuna hili suala la rushwa ya ngono ambalo limekithiri vyuoni.
Baadhi ya wahadhiri wa vyuo vikuu wanalazimisha mahusiano ya kimapenzi na wanafunzi wao, inapotokea mwanafunzi kumkatalia mhadhiri basi anakuwa matatani kwani wahadhiri hao huwatamkia waziwazi wanafunzi hao kwamba watawafelisha katika mitihani yao.
Ikumbukwe kuna wanafunzi wanafaulu kwa jitihada zao binafsi na kuna wale wanaofaulu kwa kutoa rushwa ya ngono.
Hebu tutafakari basi, ni nini kifanyike maana suala hili lina changamoto kubwa.
Je mwanafunzi akatae kutoa rushwa ya ngono afeli au atoe rushwa ya ngono apate kufaulishwa!!
Pia nini kifanyike kwa baadhi ya wahadhiri wenye tabia hii chafu ya kutaka rushwa ya ngono ambayo inawaathiri wanafunzi katika taaluma!!
Nawasilisha,...