Rushwa ya ngono vyuoni

oneblood

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2011
Posts
244
Reaction score
51
imekua kawaida kwa wanafunzi vyuon kutembea na ma lecturer ili kutopata sup or kudisco hii hali inakera kwa wale ambao wanasoma kwa nguvu zao na kuhatarisha maisha ya vijana wengi ambao ni taifa na viongoz wa kesho kwa kutoana na wengi wao kuishia kugraduate with HIV/AIDS...............serikali inatakiwa kutupa jicho na upande huu pia sio kuzalisha kizazi cha wagonjwa watakao tumikia taifa kwa muda mfup then upotea
 
Empty, defacing allegations from disgruntled student
 
Hivi kumbe WAHADHIRI ni victims wa HIV/AIDS? hebu tuhabarishe vizuri bana!:A S 39:

 
mtu anaejiunga na chuo kikuu ana hakili timamu.ila kuna baadhi wenye akili za kipimbi wanaopenda digree za kuvua chupi badala ya kusoma.wanakesha madisco then baadae wanavua chupi wanapewa max za mezani.hawa ndo hatari ktk utumish wa umma cz wanagraduate kichwani kumejaa ngono.ndo maana mnaweza kujazana kwenye foleni bank huku bank teller akiangalia ponograph anawaambia network inazingua.pia kuna baadhi ya malecturer wenye tabia za kipuuzi anabana max ili tu ampate binti flani au amkomoe mshikaji flani mwenye intrest na dem anae mpenda.ndo maana most of them ni victims.nime experience wakifariki watu kadhaa kwa ngoma kabla sijagraduate ktk chuo nilichosoma.akiwepo lecturer.
 

Lecturer nae ni binadamu kama wengine pia thibitisha huyo lecturer alivopata maambukizi kwani maambukizi yanapatikana kwa njia nyingi ikiwemo kuambukiza kwa njia ya kufanya ngono isiyo salama hali ambayo pengine ilisababishwa na kuambukizwa na mkewe ambaye siyo mwaminifu.
 
Hao wanaotoa ngono si ndo ma TA wa siku hizi.? Wataendelea hivyo hivyo mpaka wanakuwa maprof wa nchi hii. Ukiona ta mrembo jiulize namna alivyoupata lakini kuna wengine wako smart vichwani kuliko kwenye chupi.!
 
Fanyeni uchunguzi wa dhati kuhusu hili, ni asilimia ngapi wanatoa ngono kupata maksi? Acha kubwabwajaaa!!!:wink:
 
ni jukumu la hao wamaopata degree za ngono kufikiria upya mustakabali wa maisha yao baadae na si kufaulu kisha kufa kwa ukimwi
 
ni jukumu la hao wamaopata degree za ngono kufikiria upya mustakabali wa maisha yao baadae na si kufaulu kisha kufa kwa ukimwi

yaani ukitembea na lecturer maana yake ni kufa kwa UKIMWI? Akili nyingine nazo...
 

Haya ni malalamiko au mashtaka?... Scintillating and fascinating issue here is that (an) allegation(s) is/are given by man (male), what a peril!. Am wondering if he is suggesting that both male and female students are victims of sexual harassment in colleges. An advice, this is a grand allegation that need serious research and facts, get the facts and present them to the relevant authorities, otherwise your words will been seen as good as the drunkard.
 
ma lecturer wana uwezo wa kupita hata kwa watu ishirini ukiachilia mbali hao nao pia wana watu wao na katika hao ishirin co kwamba wote ni wazima na ukiangalia rate ya wanafunzi waathirika vyuoni inaongezeka kila cku
 
Mnawaonewa wivu? Tengenezeni K za bandia basi na nyinyi mpewe hizo maksi.
Mtu mzima akishaamua kaamua vitu kama hivyo haviepukiki japo vinaweza kuzuiwa wewe kamua zako piga lapa hizo za chupo achana nazo na degree zao
 
Eeh kumbe kuna degree za kuvua chup cku hiziiiiiiiiiiii!!!!!....eeeh bwana weeee!...kuna mambo!!!!
 
Piga kitabu jamaa yangu acha kufuata Wasichana wanajilengeshaje kwani hii iko kila mahali
Kwenye SIASA kupendekeza vyeo, viti maalum, JESHINI POLISI kupewa shushi na uselule hata vyeo
Ulizia ya Samson na Delillah mpaka alipata siri ya nguvu zake HII KITU IPO NA HAITAISHA
Ww kaa nao karibu watakusukumia paper na ongeza na ujuzi wako lazima utapasua tu lakini ukijifanya Mlokole utaruka Mirembe
 
Jamani mtoa mada anaeleza kitu cha ukweli nami nina ushuhuda kwa kitu kilichowahi kunitokea nikiwa chuoni.Hapa mtoa mada anaeleza ni namna gani malecture wanavyo mis use power kwa vile wao ndo kila kitu kwenye performance ya chuo basi inakuwa ndo kama rungu kujipatia wasichana kirahisi kwa vitisho vya kukusupisha na disco mbaya zaidi ukute situation ya hivi vi lecture vijana na mwanafunzi wa kike ambaye una sifa ya kauzuri ndo utakoma ubishi haya mambo jamani yapo.
Nendeni mkaone pale UDOM department ya Account and Finance au fanyeni research mtaelewa mtoa mada anachokieleza tusiwe wabishi kirahisi hivyo.Ni kweli malecture baadhi yao wanatunyima uhuru wasichana na boyfriend zetu tukiwa machuoni.
 
Sikuhiz mabint wa chuo wanataka kuwa matutorial ,ndio maana mimi malecturer mabinti sina imani nao kabisaa na gpa zao
 
kwa wanaume hamuwezi kugundua hili ni tatizo, lakini jinsia ya kike ndio inaface hii kitu sana tu. kwa mtoa mada sijui ni jinsia gani lakini yawezekana limemkuta yeye au mtu wake wa karibu.
 
Ebu waomben ladhi waadhili!kwa kuwadhalilisha mwanachuo kama mwanachuo ashajua haki yake ya musingi kishelia itakuwaje adanganywe na mtu? wanakubaliana kama wanavokubaliana na wengine alaf wanasingizia kuogopa kudisco sikweli!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…