Askofu Dr Shoo amenena ukweli kuwa Rushwa za uchaguzi zimeanza kupenyezwa kwenye makanisa na misikitini, bila aibu watumishi wa Mungu na waumini chukueni tahadhali za kutosha ili msije mkajidhalilisha kwa umma wa Tanzania.
Wananchi wanaona yanayotendeka kipindi hiki kwa viongozi wetu. Zingatieni kuwa rushwa na hongo vilimsaliti Yesu na kumsababishia maumivu mjitenge navyo.
Jehenamu haibagui Padre, shehe au Askofu zingatieni maadili ya kanisa na misikiti na nadhili zenu mlizofunga na Mwenyezi Mungu. Nyinyi ni njia ya Haki na Upendo.
Tumeona Rushwa ikitolewa kwa misaada, zawadi,pongezi kwenye makanisa na misikitini hususani kwa wakatoliki na KKKT nk
Wananchi wanaona yanayotendeka kipindi hiki kwa viongozi wetu. Zingatieni kuwa rushwa na hongo vilimsaliti Yesu na kumsababishia maumivu mjitenge navyo.
Jehenamu haibagui Padre, shehe au Askofu zingatieni maadili ya kanisa na misikiti na nadhili zenu mlizofunga na Mwenyezi Mungu. Nyinyi ni njia ya Haki na Upendo.
Tumeona Rushwa ikitolewa kwa misaada, zawadi,pongezi kwenye makanisa na misikitini hususani kwa wakatoliki na KKKT nk