nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Yanga mbovu ndiyo inayowafanya mnunue marefa ili muifikieNauza yanga mbovu na dola chakavu
Nauza yanga mbovu na dola chakavu
Nauza yanga mbovu na dola chakavu
Nauza yanga mbovu na dola chakavuYanga mbovu ndiyo inayowafanya mnunue marefa ili muifikie
alichofanya refa kukataa goal halali la azam ni ujinga wa hali ya juu,muamala kumbe ulifika kwake pia?Konyongo huzaa chuki. Furahi tu mkuu ndo yanga hiyo. Tumeyeyusha tayari ice cream huko temeke. Unaumia kabisa wananchi wakishinda si uchawi huo???
hizo hela mlizohonga kwa kina sureboy na mabeki wa azam na refa si mngewapunguzia kina juma abdul? wanatia huruma mtaaniUnafungua nyuzi nyingi zisizo na maana kuhusu Yanga halafu unazikimbia kwa aibu.
Nauza yanga mbovu na dola chakavu
Nauza yanga mbovu na dola chakavu
Nauza yanga mbovu na dola chakavu
Hoja ya kitoto hii ni ajab kutolewa na mtu mzima.alichofanya refa kukataa goal halali la azam ni ujinga wa hali ya juu,muamala kumbe ulifika kwake pia?
matokeo halali ni 1-1 goal halali lilikataliwa,imagine ingekuwa ni simba vs azam goal likakataliwa pangewaka moto leo mtandaoni zahera angepiga simu hadi makao makuu ya CafHoja ya kitoto hii ni ajab kutolewa na mtu mzima.