nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
muamala wa milioni 3 kwenda kwa yule kiungo mfupi wa Azam ambaye baba yake aliwahi kuwa mchezaji wa yanga ,uliopitia kwa wakala Thobias kiwavi toka kwa tajiri flani,hizo tuhuma Takukuru fanyieni kazi bado lisaa limoja kipute kipigwe mbutembute fc wale kipigo cha aibu
Fanyeni kazi yenu ipasavyo huyo dogo hana tofauti na Ally ally wa kmc
Fanyeni kazi yenu ipasavyo huyo dogo hana tofauti na Ally ally wa kmc