Russia imelipua train ikiwa na zana kivita za NATO

Sina haja ya kukuelezea utoto wa kipenzi chako kwa sababu hata wewe una uelewa wa kitoto.
Una upeo mdogo sana.
Mmelishwa propaganda na hizo sinema zenu za Hollywood basi hamuelewi upande mwingine wa Dunia ukoje.
Nikikuuliza utoto wa Urusi ukoje huwezi kunijibu.
 
Photoshop video from masjid ubwabwa.🤣🤣🤣🤣
 
Hivi wewe una akili kweli? Unawezaje kufananisha nchi yenye watu wenye maarifa na nchi yenye viongozi wanaosifia kiongozi mkuu kujenga matundu ya vyoo tena kwa msaada wa DANIDA?
Zote mbili ni shithole countries na wewe ni raia wa shithole country
 
Kwamba wew una akili kulko hao rusia intelligent
 
Hivi wewe una akili kweli? Unawezaje kufananisha nchi yenye watu wenye maarifa na nchi yenye viongozi wanaosifia kiongozi mkuu kujenga matundu ya vyoo tena kwa msaada wa DANIDA?
Huyo nimeshampuuza ,unajua tunajadiliana watu wengine walioathirika na maamuzi ya Putin,kwa mfano ndugu zetu wale walio exit magroup
 
Tatizo wabongo ujuaji mwingi kifupi wazungu huwa sio wajinga kiasi hicho kwanza huwa ni risk takers wanajua anything may happen hawawezi wakafanya combination ya tools na explosives kwa pamoja kama wewe ufanyavyo katika mambo yako sehemu ambayo inakuwa highly considered kwenye usafirishaj wa zana za vita huwa ni risk management sasa mbongo anakuchambulia utafirkiri alikuwepo na akaziona hizo silaha zikiteketea na sehemu zilipopigiwa mbele nyuma na kati na isitoshe hizi habari huwa ni secret huwezi kupata full details
 
radius ya uharibifu ndio ina mater, kuna lenye uwezo wa radius hadi km 30
 
Hivi wewe una akili kweli? Unawezaje kufananisha nchi yenye watu wenye maarifa na nchi yenye viongozi wanaosifia kiongozi mkuu kujenga matundu ya vyoo tena kwa msaada wa DANIDA?
Hii style ya Mwendazake naona imerudi kwa kasi sana siku hizi. Kuna kitu hakiko sawa. Wanasema ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…