Russia imelipua train ikiwa na zana kivita za NATO

Russia imelipua train ikiwa na zana kivita za NATO

Hua najiuliza kizembe.
Hivi Russia wanapipigaga train ya shehena za silaha,je hua kombora hilo Lina uwezo wa kuteketeza Kila silaha iliyokua ndani ya mabehewa?
Maana isiwe train inapigwa inashindwa kuendelea na safari,halafu unakuta ni mabehewa mawili matatu TU ndiyo yameharibika halafu mabehewa mengine zaidi ya 20 silaha zinakua salama kabisa ,kiasi Cha kuyainua kuzifutq vumbi silaha hizo kisha zinasafirishwa kwa njia nyingine Kupelekea front,au hua wanarudiaridia kupiga kuhakikisha hakuna silaha itatoka mzima?
Wajuzi nijuzeni.
Shehena yoyote ya silaha,ata ukitupa kijiti Cha kibiriti, Moto wake unaungua kwa chain, mpk shehena nzima iishe
 
Nimewauliza mtume wenu aliyekuwa akiwanyonya ulimi wanaume wenzake alikuwa ni LGBT au hakuwa lakini hamtaki kujibu...!!!
Jibu swali wewe upinde,ulipata nafasi wewe na mumeo kubarikiwa kwa Papa?
 
Back
Top Bottom