Russia kupeleka mbolea bure nchini Kenya

Russia kupeleka mbolea bure nchini Kenya

Sasa Ukraine analetaje huo ushoga Africa kama hana shirika?
Kama huelewi tulia na usipinge. Soma na fuatilia. Ww rafiki yako akiwa ni jambazi na ana kuja kwako nyumbani kukutembelea. Jamii ita sema Mr. X ndie ana shirkiana na wezi. Nae ni mwizi. Una hamishwa mtaa au kifungo jela.
 
Kama huelewi tulia na usipinge. Soma na fuatilia.
Mnajua nyie manyumbu msiojielewa mmetekwa na Urusi kwenye neno ushoga kuhalalisha Uvamizi wake nchini Ukraine utafikiri Urusi anapambana na ushoga wakati Urusi anataka kuiteka Ukraine kama Urusi anapinga ushoga mbona Africa kusini ni rafiki mkubwa wa Urusi ila imeruhusu ushoga kwenye katiba yake na Urusi hajalikemea hilo? Urusi ametumia neno ushoga kama propaganda za kuwashika akili nyie cheap mind mshabikie Urusi
 
Mnajua nyie manyumbu msiojielewa mmetekwa na Urusi kwenye neno ushoga kuhalalisha Uvamizi wake nchini Ukraine utafikiri Urusi anapambana na ushoga wakati Urusi anataka kuiteka Ukraine kama Urusi anapinga ushoga mbona Africa kusini ni rafiki mkubwa wa Urusi ila imeruhusu ushoga kwenye katiba yake na Urusi hajalikemea hilo? Urusi ametumia neno ushoga kama propaganda za kuwashika akili nyie cheap mind mshabikie Urusi
Mkun.du mpana. La hivi uta kuta lina mbo.lo ila ni lishoga
 
Back
Top Bottom