Russia Returns to Gold Standard, Government to Remove VAT (Tax) on Bullion

Russia Returns to Gold Standard, Government to Remove VAT (Tax) on Bullion

Source ya hii habari ni ipi?

Anyway, it’s interesting. Nasubiri kuona madikteta wa dunia kama Putin & the oligarchs, Xi & Chinese tycoons, Kim wa NK na wengineo wakihamisha utajiri wao wa kifisadi toka US na EU region. Bila shaka unafahamu kuwa US wanamiliki deni kubwa sana la China kupitia federal treasury bonds. Yaani Wachina wanajua ili utajiri wao usipoteze thamani lazima uhifadhiwe US in dollars.

Thamani ya pesa haiimarishwi na vitu pekee. Bali zaidi na mifumo imara ya pesa iliyojengwa kule New York, London, Brussels, Frankfurt, n.k. Usalama wa pesa ni wa hali ya juu sana. Imagine, matajiri wa dunia wakiwemo mafisadi papa hata wa kwetu, wauza madawa ya kulevya, wote wanafanya kila janja kuhifadhi pesa zao huko.

Huko ni kwenye nchi zenye demokrasia ambako systems zinafanya kazi badala ya maamuzi ya mtu mmoja. Political systems and processes ziko stable. Uchumi unafuata sera zinazokubalika na wengi. Maamuzi muhimu yanachakatwa kiundani na vyombo shirikishi vya maamuzi vyenye kauli ya mwisho.

Sioni uwezekano wa watu kuhifadhi utajiri wao kwenye rubuli (roubles) ilhali haijulikani kesho Putin ataamka vipi. Au kwenye yuan na kuishi na wasiwasi kuhusu mipango na maamuzi ya Xi huko South China Sea! Ni kama ilivyokuwa hapa bongo nyakati zile unaweza amka na kukuta visenti vyako benki vimekaushwa vyote kwa “amri toka juu”. Sasa imagine tungekuwa super power.
 

Russia to Return to Gold Standard, Government to Remove VAT (Tax) on Bullion. This bill will be submitted to the State Duma on March 4,2022.​

In one fell swoop, Russia just made the Russian Ruble the single most stable currency in the entire world.
Moreover, they just fucked the US Dollar and the EURO so badly, neither currency is likely to survive.
Nobody around the world will favor a US dollar, backed by nothing, from a nation $30 TRILLION in debt, versus a gold-backed Ruble.
Russia just completely SMASHED the United States and the EUROZONE.
Think I'm kidding? Think again.
When Muammar Qaddafi in Libya planned on a Gold-backed currency for all of Africa, the West went into Libya and overthrew him.
When Saddam Hussein in Iraq announced he would start selling oil in currencies other than the U.S. Dollar, two months later was Iraq War 2 - and they hung him!
The U.S. Dollar being the sole reserve currency for this planet is why wars get waged, and now Russia has completely, totally smashed it.
You watch. The U.S. that has been saying "no nuclear war" and even Defense Secretary Lloyd Austin saying yesterday "All this talk of nuclear war is dangerous, stop it" is going to change almost overnight. The US is now in an existential crisis. Our currency has just been utterly smashed by Russia's decision to back the Ruble with Gold.
Watch the rhetoric about Russia from this moment on. You will notice it is ratcheted-up to vilification like you've never seen before. Why, they'll probably start accusing Russian troops of throwing babies out of incubators in Ukraine hospitals (like they accused Iraq) in order to justify going to war with Russia.
In my personal opinion, war with Russia is now a foregone conclusion. The US and Europe have no choice. If the Dollar and the EURO are to survive, Russia must be killed.
I hope you prepped. Food, water, medicine, etc.
Now get right with God. I mean it. The shit is about to hit the fan so badly, we'll be lucky to live through it.

UPDATE 8:45 AM EST FRIDAY MARCH 4 -- Two days ago on March 2, 2022, I recall seeing a SINGLE off-the-beaten-path notification which read simply "the EU has forbidden sale and import of EU banknotes into Russia." I remember thinking this was odd. How can anyone restrict the movement of cash and why would they? Now, we know.
Clearly the European Union (EU) got word that Russia was going to back their currency with Gold and the EU wanted to make sure no one in Europe could sell or even bring their cash EUROS into Russia to dump them for gold-backed currency! The EU knew this was coming . . . or at least they strongly feared it.
So now, people in Europe are hamstrung; they cannot use THEIR OWN MONEY to buy some other type of money without first converting that money to someone else's money that isn't restricted from going into Russia. Jump through hoops to use your own cash. These Bankers ARE tyrants. Outright vicious tyrants.
Fake news Putin is finished .Uchumi wa urudi upo 0’.Putin Sasa Anasema vita gani tunawapenda majirani .Putin Akili zake ni za 1945 Cold War tactic it work
 
Yes,you are right in some respect,lakini US nako kwa vile Federal Reserve wana-print dollar hovyo hovyo,and is backed by nothing, ni makaratasi tu,inflation nako ni tatizo sana.The best alternative ni the Russian option.,option ambayo ni disaster for the US dollar.
Hiyo Russian alternative tutasubiri ijithibitishe. Tutaipa heshima yake. Nguvu ya gold sawa. Cha kujiuliza inakuwaje kina Putin waweke utajiri wao kwenye mabenki na rasilimali (investments) kule US na nchi za EU?

Mimi nguvu ya USD naiona katika uimara wa mfumo unaoisimamia: federal reserve system ikiwa backed up na uchumi mkubwa na imara wa us na utawala wake wa kidemokrasia. Kuaminika, usalama wa pesa na uimara wa thamani yake ndiyo nguvu halisi ya dollar.
 
Hiyo Russian alternative tutasubiri ijithibitishe. Tutaipa heshima yake. Nguvu ya gold sawa. Cha kujiuliza inakuwaje kina Putin waweke utajiri wao kwenye mabenki na rasilimali (investments) kule US na nchi za EU?

Mimi nguvu ya USD naiona katika uimara wa mfumo unaoisimamia: federal reserve system ikiwa backed up na uchumi mkubwa na imara wa us na utawala wake wa kidemokrasia. Kuaminika, usalama wa pesa na uimara wa thamani yake ndiyo nguvu halisi ya dollar.
Mkuu the Russian alternative is the way,if we want to get rid of inflation,hata Tanzania.Kama Bunge la Urusi,the Russian Duma litapitisha huo mswaada,which I believe they will kwa kuwa under the current circumstances that is their only way out,the Ruble will be very stable, kwa hiyo itakuwa the reserve currency of choice for nations,na the US dollar itakimbiwa.Hiyo itakuwa pigo kubwa kwa uchumi wa Marekani,ambao tayari unayumba.
 
Source ya hii habari ni ipi?

Anyway, it’s interesting. Nasubiri kuona madikteta wa dunia kama Putin & the oligarchs, Xi & Chinese tycoons, Kim wa NK na wengineo wakihamisha utajiri wao wa kifisadi toka US na EU region. Bila shaka unafahamu kuwa US wanamiliki deni kubwa sana la China kupitia federal treasury bonds. Yaani Wachina wanajua ili utajiri wao usipoteze thamani lazima uhifadhiwe US in dollars.

Thamani ya pesa haiimarishwi na vitu pekee. Bali zaidi na mifumo imara ya pesa iliyojengwa kule New York, London, Brussels, Frankfurt, n.k. Usalama wa pesa ni wa hali ya juu sana. Imagine, matajiri wa dunia wakiwemo mafisadi papa hata wa kwetu, wauza madawa ya kulevya, wote wanafanya kila janja kuhifadhi pesa zao huko.

Huko ni kwenye nchi zenye demokrasia ambako systems zinafanya kazi badala ya maamuzi ya mtu mmoja. Political systems and processes ziko stable. Uchumi unafuata sera zinazokubalika na wengi. Maamuzi muhimu yanachakatwa kiundani na vyombo shirikishi vya maamuzi vyenye kauli ya mwisho.

Sioni uwezekano wa watu kuhifadhi utajiri wao kwenye rubuli (roubles) ilhali haijulikani kesho Putin ataamka vipi. Au kwenye yuan na kuishi na wasiwasi kuhusu mipango na maamuzi ya Xi huko South China Sea! Ni kama ilivyokuwa hapa bongo nyakati zile unaweza amka na kukuta visenti vyako benki vimekaushwa vyote kwa “amri toka juu”. Sasa imagine tungekuwa super power.
Mkuu somo la International Finance unalijua vizuri sana,umenirudisha darasan kidogo kwa comment hii.nilikuwa nasoma hizo comment huko juu nikawa nacheka tu.
 
Mleta maada hana uelewa somo la economics kabisa. Tafadhali google why gold standard was abandoned.
Ulikuwa ni utapeli,it was wrong!Ukitaka ku-stabilize your currency,it must be backed up by a Gold or Silver reserve of the same value in your Central Bank.Hiyo ndiyo Economics.Hizi hela tunazotumia not backed by Gold or any other Commodity,is called Fiat money na ni utapeli.

What Is Fiat Money?​

Fiat money is a government-issued currency that is not backed by a physical commodity, such as gold or silver, but rather by the government that issued it. The value of fiat money is derived from the relationship between supply and demand and the stability of the issuing government, rather than the worth of a commodity backing it. Most modern paper currencies are fiat currencies, including the U.S. dollar, the euro, and other major global currencies.


KEY TAKEAWAYS​

  • Fiat money is a government-issued currency that is not backed by a commodity such as gold or Silver.
  • Fiat money gives central banks greater control over the economy because they can control how much money is printed.
  • Most modern paper currencies, such as the U.S. dollar, are fiat currencies.
  • One danger of fiat money is that governments will print too much of it, resulting in hyperinflation.
 
Mkuu the Russian alternative is the way,if we want to get rid of inflation,hata Tanzania.Kama Bunge la Urusi,the Russian Duma litapitisha huo mswaada,which I believe they will kwa kuwa under the current circumstances that is their only way out,the Ruble will be very stable, kwa hiyo itakuwa the reserve currency of choice for nations,na the US dollar itakimbiwa.Hiyo itakuwa pigo kubwa kwa uchumi wa Marekani,ambao tayari unayumba.
That's easier said than done
 
That's easier said than done
Sioni tatizo la ku-backup your currency with Gold,hasa kwa nchi yenye Gold kama Urusi,simply sioni tatizo, ni maamuzi tu,hasa ukizingatia mazingira waliyo nayo kwa sasa.Fiat Ruble kwa sanctions zilizopo, itapungua thamani mpaka itapoteza value kabisa.Ni vema wakai-backup with Gold.
 
Leo thamani ya ruble imeanguka tena zaidi ya asilimia 11 baada ya anguko la asilimia 30 punde baada tangazo la vikwazo vya uchumi dhidi ya Urusi. Conversion of ruble to rubble full steam ahead.😀
Fiat money ndio matatizo yake hayo,their only choice is to back the Ruble with Gold,watakuwa wamemaliza mchezo.
 
Hiyo Russian alternative tutasubiri ijithibitishe. Tutaipa heshima yake. Nguvu ya gold sawa. Cha kujiuliza inakuwaje kina Putin waweke utajiri wao kwenye mabenki na rasilimali (investments) kule US na nchi za EU?

Mimi nguvu ya USD naiona katika uimara wa mfumo unaoisimamia: federal reserve system ikiwa backed up na uchumi mkubwa na imara wa us na utawala wake wa kidemokrasia. Kuaminika, usalama wa pesa na uimara wa thamani yake ndiyo nguvu halisi ya dollar.
Drifter the US sio ile uliyokuwa unaifahamu,uchumi wa US umeyumba sana.Pia usisahau kwamba bado the US dollar ni Fiat currency,meaning that it is not backed by Gold.Sasa hela ambayo ni Fiat,lazima inflation iwe tatizo.Sio siri kwamba Federal Reserve ya sasa,sio ile ya zamani,wana print
hela hovyo hovyo tu.


What Is Fiat Money?​

Fiat money is a government-issued currency that is not backed by a physical commodity, such as gold or silver, but rather by the government that issued it. The value of fiat money is derived from the relationship between supply and demand and the stability of the issuing government, rather than the worth of a commodity backing it. Most modern paper currencies are fiat currencies, including the U.S. dollar, the euro, and other major global currencies.Hili Ni tatizo kubwa!


KEY TAKEAWAYS​

  • Fiat money is a government-issued currency that is not backed by a commodity such as gold.
  • Fiat money gives central banks greater control over the economy because they can control how much money is printed.
  • Most modern paper currencies, such as the U.S. dollar, are fiat currencies.
  • One danger of fiat money is that governments will print too much of it, resulting in hyperinflation,Kama Federal Reserve inavyo fanya,it is so insane
 
Fake news Putin is finished .Uchumi wa urudi upo 0’.Putin Sasa Anasema vita gani tunawapenda majirani .Putin Akili zake ni za 1945 Cold War tactic it work
Tusubiri mkuu,don't run into conclusions,this is a developing story.Tatizo la sisi wengi ni kwamba tumesikiliza story ya upande mmoja:the West, hatujapata hoja za Urusi.Sasa hivi Western Media full time ni kuipaka tu Urusi matope.But is Russia really all that bad,si kweli.Infact Russia is one of the most sane nations on the Planet.Hebu take time to listen to the following clips,labda utanielewa.
 

Attachments

  • VID-20220304-WA0001.mp4
    14.9 MB
  • VID-20220304-WA0000.mp4
    8.1 MB
  • VID-20220302-WA0000.mp4
    23.5 MB
Mleta maada hana uelewa somo la economics kabisa. Tafadhali google why gold standard was abandoned.
Mkuu kweli unayo ongea hayoo,uchumi umejifunzia wapi,mwembeni !!!!???? Mkuu hela tunazotumia zinaitwa Fiat Money,kwa kuwa they are not backed by a physical commodity such as Gold or Silver.

What Is Fiat Money?
Fiat money is a government-issued currency that is not backed by a physical commodity, such as gold or silver, but rather by the government that issued it. The value of fiat money is derived from the relationship between supply and demand and the stability of the issuing government, rather than the worth of a commodity backing it. Most modern paper currencies are fiat currencies, including the U.S. dollar, the euro, and other major global currencies.


KEY TAKEAWAYS​

  • Fiat money is a government-issued currency that is not backed by a commodity such as gold.
  • Fiat money gives central banks greater control over the economy because they can control how much money is printed.
  • Most modern paper currencies, such as the U.S. dollar, are fiat currencies.
  • One danger of fiat money is that governments will print too much of it, resulting in hyperinflation.
 
Back
Top Bottom