Russia Returns to Gold Standard, Government to Remove VAT (Tax) on Bullion

Russia Returns to Gold Standard, Government to Remove VAT (Tax) on Bullion

Mkuu the USD is Fiat currency.Mwanzoni ilikuwa backed by Gold and to a limited extent silver,Ila baadae waliacha Soma hii[emoji116]

Wewe nimefuatilia nyuzi zako Nyingi ni Anti-USA hata kwenye Jambo la ukweli lazima uiponde Marekani. Kwahiyo sutegemei kuona positive feedback kuhusu USA kutoka kwenye kichwa chako.

Ukiniambia Dollar ya Marekani itashuka thamani kisa Russia kaanzisha GOLD STANDARD wakati huohuo Marekani ndio yenye hadhina ya dhahabu kuliko nchi yoyote ile Duniani Tani (8,200) huku Urusi unayoipigia debe ina robo tu ya Marekani (Tani 2,300) Basi Nakuona kichaa tu.

Hapo ni Sawa na Swala aamue kuacha kula Nyasi badala yake aanze kula Nyama ili amukomoe Simba wakati kwenye ulaji wa Nyama Simba ndio kwake Sasa.

Kiufupi,Urusi Hana Cha kuikomoa Marekani,atawatishia Ulaya na Gas yake tu lakini sio Marekani.

Kwenye Jimbo la Pennisylvania kule Marekani wamegundua Reserve kubwa ya Mafuta karibu Mapipa Trillioni 98,000 ambayo ni karibu reserve ya Mafuta yaliyogunduliwa Dunia nzima. Wanaacha kuyachimba kwasababu ya ENVIRONMENTAL EFFECTS. Ndio maana mwaka 2017 Trump alivyoingia Madarakani akaiondoa Marekani kwenye PARIS AGREEMENT (inayoibana Marekani na Mataifa mengine kusitisha matumizi ya Fossil Fuels ili Kulinda Mazingira) na wakaanza mchakato wa kuyachimba. Alivyoingia Biden tunajua kilichotokea,Waliifutilia mbali mipango ya kuchimba Mafuta Pennisylvania baada ya kuirudisha Marekani kwenye PARIS AGREEMENT.
 
Wewe nimefuatilia nyuzi zako Nyingi ni Anti-USA hata kwenye Jambo la ukweli lazima uiponde Marekani. Kwahiyo sutegemei kuona positive feedback kuhusu USA kutoka kwenye kichwa chako.

Ukiniambia Dollar ya Marekani itashuka thamani kisa Russia kaanzisha GOLD STANDARD wakati huohuo Marekani ndio yenye hadhina ya dhahabu kuliko nchi yoyote ile Duniani Tani (8,200) huku Urusi unayoipigia debe ina robo tu ya Marekani (Tani 2,300) Basi Nakuona kichaa tu.

Hapo ni Sawa na Swala aamue kuacha kula Nyasi badala yake aanze kula Nyama ili amukomoe Simba wakati kwenye ulaji wa Nyama Simba ndio kwake Sasa.

Kiufupi,Urusi Hana Cha kuikomoa Marekani,atawatishia Ulaya na Gas yake tu lakini sio Marekani.

Kwenye Jimbo la Pennisylvania kule Marekani wamegundua Reserve kubwa ya Mafuta karibu Mapipa Trillioni 98,000 ambayo ni karibu reserve ya Mafuta yaliyogunduliwa Dunia nzima. Wanaacha kuyachimba kwasababu ya ENVIRONMENTAL EFFECTS. Ndio maana mwaka 2017 Trump alivyoingia Madarakani akaiondoa Marekani kwenye PARIS AGREEMENT (inayoibana Marekani na Mataifa mengine kusitisha matumizi ya Fossil Fuels ili Kulinda Mazingira) na wakaanza mchakato wa kuyachimba. Alivyoingia Biden tunajua kilichotokea,Waliifutilia mbali mipango ya kuchimba Mafuta Pennisylvania baada ya kuirudisha Marekani kwenye PARIS AGREEMENT.
Mimi sio anti US,I am just providing facts.Mkuu siwezi kusifia uozo,hiyo siyo tabia yangu,I am not a hypocrite. Wakifanya vizuri watasifiwa,lakini kwa sasa no,they are doing very badly.

Halafu mkuu US watafanyaje vizuri,their foundation is Masonic,and therefore evil.Tatizo la vijana ni kwamba you cherish American values,American values are against human moral standards,you better know this.Tatizo la watu wa leo,hasa vijana ni kwamba mmepoteza kabisa uwezo wa kutofautisha between good and evil,ni jambo la kusikitisha sana.Evil to you is fine,so no wonder you cherish American values.
 
Mimi sio anti US,I am just providing facts.Mkuu siwezi kusifia uozo,hiyo siyo tabia yangu,I am not a hypocrite, wakifanya vizuri watasifiwa,lakini kwa sasa no,they are doing very bad.

Halafu mkuu US watafanyaje vizuri,their foundation is Masonic,and therefore evil.Tatizo la vijana ni kwamba you cherish American values,American values are against human moral standards,you better know this.Tatizo la watu wa leo,hasa vijana ni kwamba mmepoteza kabisa uwezo wa kutofautisha between good and evil,ni jambo la kusikitisha sana.Evil to you is fine,so no wonder you cherish American values.
unamaanisha Russia yeye sio evil? kiaje?
 
"...The EU knew this was coming . . . or at least they strongly feared it...."
Hii tahadhari niliiona wakati wa mjadala wa kuingia Russia mfumo wa SWIFT.
Tuendelee kutazama
samahani naomba kujuzwa
kwani RUSSIA aliingia kwenye SWIFT mwaka gani nakabla ya hapo alikua anatumia mbadala gani wa SWIFT?
 
Fake news Putin is finished .Uchumi wa urudi upo 0’.Putin Sasa Anasema vita gani tunawapenda majirani .Putin Akili zake ni za 1945 Cold War tactic it work
Kisa umekatwa govi bure kwa ufadhiri wa superpower US
 
samahani naomba kujuzwa
kwani RUSSIA aliingia kwenye SWIFT mwaka gani nakabla ya hapo alikua anatumia mbadala gani wa SWIFT?
2014 alijitengenezea mfumo wake ila mabenki nje ya Russia yaliukataa kuutumia na kuendelea na swift.
Mabenk hayalazimiki kutumia Swift codes ila ndio mfumo mabenki mengi makubwa yaliyojichagulia.
Mabenk hayaamini mifumo mingine ya kuhamisha hela ni salama compared to Swift ndipo shida inapoanzia
 
Back
Top Bottom