Mkuu kwa akili yako yote tangu uzaliwe??
Vita inapiganiwa Nyumbani kwako , ardhi yako, yanabomoka majengo yako, watu wako na miundo mbinu vinaharibika na wanajeshi wako wanakufa bado useme Russia ndo kapoteza??
mwenzetu una kichwa kweli??
haya angalia hesabu ndogo
Hasara ya Ukraine = Jeshi + Raia + Miundo mbinu + Mazao na mifugo + Miji na makazi + siraha + Uchumi
Hasara ya Russia = Jeshi + silaha
Russia mambo yakiwashinda wanarudi kwao. Ukraine kwao kumeharibika, na kila kitu kinaanza upya kifupi hawana option