Yaani Russia ameishusha thamani pesa yake? Mkitukanwa mtasema mnaonewa.Mkuu, pesa iko string sana. Walichokifanya Russia ni kuishusha kidogo thamani kwa sababu kadri ilivyokuwa ikiimarika inakuwa mzigo mzito kwa serikali na wananchi. Kwa hiyo hapo ilipo iki vizuri sana. Jiulize ghafla tu ukiamka kesho ukuta usd 1 ñi sawa na Tshs 1000, unajua uchumi utayumba?
Swali ambalo nimeliina leo wachumi wengi huko majuu wanajadili: kwa nini benki za Russia hazifilisiki? Wenye uchumi imara mabenki yanakufa, wenye vikwazo kila kona benki zao ziko imara. Fuatilia PETRODOLLAR
ni ngumu kuelewa kivip Russia kaferi , wenzio wanajiandaa na mtihani wa acsee wewe upo busy kudiscus mambo ya NECTA , hapo ukiambiwa unaferi unajua kwann ?Mkuu kwa akili yako yote tangu uzaliwe??
Vita inapiganiwa Nyumbani kwako , ardhi yako, yanabomoka majengo yako, watu wako na miundo mbinu vinaharibika na wanajeshi wako wanakufa bado useme Russia ndo kapoteza??
mwenzetu una kichwa kweli??
haya angalia hesabu ndogo
Hasara ya Ukraine = Jeshi + Raia + Miundo mbinu + Mazao na mifugo + Miji na makazi + siraha + Uchumi
Hasara ya Russia = Jeshi + silaha
Russia mambo yakiwashinda wanarudi kwao. Ukraine kwao kumeharibika, na kila kitu kinaanza upya kifupi hawana option
Mrusi wa kilwa weweYaani Russia ameishusha thamani pesa yake? Mkitukanwa mtasema mnaonewa.