everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,027
Hongereni team England,kwema kaka,habari ya ban la TCRA?Tupongeze pia team England
kwema lakini bibie?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongereni team England,kwema kaka,habari ya ban la TCRA?Tupongeze pia team England
kwema lakini bibie?
Sweden tunamla vizuri
Na asia 1Robo fainal itakuwa
England vs Sweden.
America ya kusini zimebaki timu mbili. Brazil na Uruguay. Africa hamna kitu.
6 za ulaya dhidi ya 2 za Amerika kusini.
Mkuu swedem mdebwedo pale, hamna kituPamoja na England kushinda, hii si timu ya kusimama na Sweden
Hahahahaaa.Sweden tunamla vizuri
Nyani Ngabu wana bahati
NN ni end of the road kwa England. Kwa mchezo wa leo,hawawezi kusimama kidete na Sweden
Bado nabaki kuamini timu 4 za mwisho
Brazil, Croatia, Sweden Uruguay
Katika timu hizi, anayeweza kumzuia Brazil kwa uhakika ni Croatia
England walikuwa na low energy, hawana pattern. Si timu ya kusimama na Sweden
Mimi ni England lkn namuogopa Belgium tu.NN ni end of the road kwa England. Kwa mchezo wa leo,hawawezi kusimama kidete na Sweden
Bado nabaki kuamini timu 4 za mwisho
Brazil, Croatia, Sweden Uruguay
Katika timu hizi, anayeweza kumzuia Brazil kwa uhakika ni Croatia
No, I mean England haiwezi kuvuka kikwazo cha Sweden kutokana na uchezaji mbovu ilioonyesha. Hii ilikuwa ni timu ya kuifunga Columbia bila extra timeUnataka ipi isimame sasa...do u think that Sweden angemtoa Colombia???
Kwa mpira wa england pia, afadhali sweden! Sweden atapita kama england huu ndio mpira wao.Mkuu swedem mdebwedo pale, hamna kitu
Hizi kama angepata au kama angekosa ni assumption za kinaa...Wamshukuru Mcolombia aliyepiga mwamba....maana angepata ile penati ndo ingekuwa bye bye.
Ila sio england. Labda croatia!Tunakoelekea Ka nchi ka ajabu kanaweza chukua kombe!!
Upuzi....hakuna timu inayotisha duniani kwa sasa...Mimi ni England lkn namuogopa Belgium tu.
Brazil atakula 7
🙂 🙂 🙂 sijui tuone mpka mwisho!!!Ila sio england. Labda croatia!
[emoji31] [emoji31]Ukitaka timu za Africa zichukue kombe la Dunia, waambie wachezaji kuwa kombe la Dunia linaongeza kuvuta za kiume . Full stop