Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Ha ha ha ha ha si mchezo, Na mimi utabiri wangu nauweka vice versa kwamba leo zitashida Team zenye herufi 7 halafu kesho ndio zitashinda Team zenye herufi 6.
 
Maajabu yako wapi sasa hapo?
Ingieni mkenge ndio mtajuwa kwa nini Juventus ilishushwa daraja Italy licha ya kuwa mabingwa.
Haya ndio mambo yanayosababisha tajiri kuwa maskini kwa dakika 90 tu. Waacheni Mabilionea wafirisiane wenyewe hapo wanaingizwa watu king.
 
😱😱😱😱 poooouwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…