Uruguay Bila Cavan naona Suarez atakuwa mkiwaUruguay kaanza na kasi
Mmh. We naweeee.Mechi ya Brazil na Belgium kuna mchezaji mmoja wa Belgium atakula Nyekundu
Dogo kajaa tele mkuuMbona simuoni Mbappe, au macho yangu hayaoni vizuri
Neymar huyoMechi ya Brazil na Belgium kuna mchezaji mmoja wa Belgium atakula Nyekundu
Ka king'amuzi ka Star Times kupitia world sports kametenda miujiza kwenye hii world cupSikuwahi kuangalia kupitia TBC tangu michuano ianze, leo Supersport imetugomea. Tumeamua kujipoza TBC.
Iko hovyo kweli hadi sijamuona Mbappe hadi sasa
Saana mkuuUruguay Bila Cavan naona Suarez atakuwa mkiwa
Uruguay Bila Cavan naona Suarez atakuwa mkiwa
Nadhani mengi ni kuwawahi ,na kublock zile counter attack alifungiwa Argentina ,ingawa France nao sio haba nao wanavuka nusu ya uwanja kwa speed nzuriYaani. Acha tu Mkuu.
Utakuwa anataka matokeo ya mapema.
Andaa tu kalamu na karatasi MkuuHaya ukishacheka uje unifundishe na mie Sesten.
Subiri uone mkuu Belgium mmoja atakula red baada ya kkunyanyaswa sana na BrazilMmh. We naweeee.
Mmeshaanza hofu. Brazil banaaa. Sasa mnataka Belgium wawe pungufu lol
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Namfananisha na Henry mbio zake,ingawa Leo Uruguay wako makini kublock counter attack na mipira ya juuMbape kaanza mambo huyu dogo hatari sana huyu wasipokuwa makini watalia sasahivi.
Ngoja tusubiriMechi ya Brazil na Belgium kuna mchezaji mmoja wa Belgium atakula Nyekundu
Ooh. Itakuwa hivyo Mkuu.Nadhani mengi ni kuwawahi ,na kublock zile counter attack alifungiwa Argentina ,ingawa France nao sio haba nao wanavuka nusu ya uwanja kwa speed nzuri
Hahahaaa. Kwani tangia Kombe la dunia lianze mwaka huu ni timu gani mchezaji alipata red kutokana na kunyanyaswa na Brazil.Subiri uone mkuu Belgium mmoja atakula red baada ya kkunyanyaswa sana na Brazil