Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Huyu Refa anaonekana kama anaweza kumtia mtu makofi sasa hivi. Hasa mchezaji yoyote wa Uruguay atakeyeleta ujinga.
 
Subiri uone mkuu Belgium mmoja atakula red baada ya kkunyanyaswa sana na Brazil
Hahahaaa. Kwani tangia Kombe la dunia lianze mwaka huu ni timu gani mchezaji alipata red kutokana na kunyanyaswa na Brazil.

Hebu nikumbushe ili nijiridhishe kwamba na leo itajirudia Mkuu.
 
Back
Top Bottom