Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Wacha aendelee na upuuzi akina mbappe watamwacha kama amesimama, ashaonywa na wakongwe akina can7onaView attachment VID-20180703-WA0024.mp4
 
tbc wampe nafasi zaidi dr liki hawa akina dada wanafanya nini hapa
Wanataka usawa ila huyu dada wanamuita kocha sioni anachochambua. Ila haka katangazaji mpaka kiunoni kimuonekano kako vizuri, sijui huko mwili unakoendelea kukoje.
 
Hayo maneno tu..ila wachezaji wote wa kipindi hiki wanafanana,ukitoa messi na ronaldo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…