Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Pengo la Casemiro limeonekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muda mfupi baada ya kuandika hii comment.
Goal la pili likaingia kwa namna nilivyoelezea hapa
Kipa wa Belgium (Courtois) leo nampa pongezi, amefanya kazi nzuri mpaka sasa.
Baada ya dk 90 ndio ntaamin hichi nnacho kiona uwanjanHalf time hiyo.
Dakika 45 zitaamua
Nasema watapata taabu sanaaaaBrazil watapata taabu sana!
[emoji23][emoji23][emoji23]Nasema watapata taabu sanaaaa
is it not obvious.?It might be...
Hahahaha kabisaa,hapo r madrid wakikosea tu move wakamsajili kwa pesa ndefu imekula kwao
Nitarudi
Obviouslyis it not obvious.?
Wacha tumalizane na Brazil Chief, hao hawatufai tena.Duh! umewauwa sana. Mpira wao nao pia ni wa ujanja ujanja sikuwapa nafasi na pengo la cavani isiwe kisingizio
Yes.Obviously
Neymar ni hasaraDe bruyne huyu jamaa ana mpira wa faida sana kuliko neymar
Nimejaribu kupima mwelekeo wa upepo na BarometerUpo vizuri sana akhui