Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Ahsante kaka roho inauma,huko mie siko tena
Mpira penda lakini penda kiasi, nilikuwa mpenzi wa mpira sana nikifungwa moyo ulikuwa unawaka moto vibaya, brother wangu akanishauri nitafute kitu kingine ambacho kitakuwa burudani kwangu. Nikaangukia kwenye movie. Mkuu mpira upende kati kwa kati.
 
Mpira penda lakini penda kiasi, nilikuwa mpenzi wa mpira sana nikifungwa moyo ulikuwa unawaka moto vibaya, brother wangu akanishauri nitafute kitu kingine ambacho kitakuwa burudani kwangu. Nikaangukia kwenye movie. Mkuu mpira upende kati kwa kati.
Mie huwa nakuaga na timu moja tu Brazil pekee yake ktk WC,mpira naupenda mno ,cz nimewahi kuonja matunda yake Mkuu japo kdg
 
Wale wapenzi wa Brazil poleni na wazee wamikeka usiku mwema, namuona mhindi anavyozikusanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…