Kane leo hajawa na ubora wakeEngland wametambua Waswidish ni warefu na mipira ya kona inaishia kuokolewa, wanatumia mipira ya kati kupenya, hilo limewapa nafasi za kupenya. Tatizo ni kukosa kiongozi pale mbele
Harry Kane haonekani kuwa na impact
koncho77 narudia tena kusema, England wanafanya kosa kuanza kulinda kwa kuua kiungo
Kenny hana msaidizi pale mbele, Ally na Starlling wapo chini ya kiwango leo.England wametambua Waswidish ni warefu na mipira ya kona inaishia kuokolewa, wanatumia mipira ya kati kupenya, hilo limewapa nafasi za kupenya. Tatizo ni kukosa kiongozi pale mbele
Harry Kane haonekani kuwa na impact
koncho77 narudia tena kusema, England wanafanya kosa kuanza kulinda kwa kuua kiungo
Hahaha nadhani wamekubali tayari, hawana cha kupoteza kwanza hawakutarajiwa kufika hata hatua hii.Mkuu hata mimi nawashangaa, utadhani wao ndio wanaongoza.
Aah,.sio mchezo chiefUlikimbia jana
kwani Croatia amepita?? acha kukariri bro Spain katolewa Russia remember
yote ni sawa ila mwisho wa siku football it's all about resultsMkuu unawapenda England sawa, lakini na hii boring game ndio unategemea watabeba World Cup? Hatua waliyofikia mbeleko hasaidii tena
Akhui shukurani kwa kutuamini na kututakia mema nusu fainali hiyoJapo sio mshabiki wa england ila watafika mbali...
Ulikuwa na matokeo penye pochi? Safi sana shunie kwa kuujua ukweli.Haitolewi