Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Pole jamaani pole sana Sesten yaani kutolewa Brazil na kombe kwako likaisha.Hee Hajar! Kombe la Dunia kwani bado lipo? Mi kwangu lilisha kwisha mbona
Haahaaaa. Haya bana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole jamaani pole sana Sesten yaani kutolewa Brazil na kombe kwako likaisha.Hee Hajar! Kombe la Dunia kwani bado lipo? Mi kwangu lilisha kwisha mbona
Yaa France atakutana na England kuchuana kusaka mshindi wa tatuMkuu utapigwa mara mbili.
Timu zote 2 ni nzuri ila France atashiriki mechi ya mshindi wa 3 Jumamosi.
Wee acha tu Hajar hata Taifa Stars ikifungwaga siumii kama ninavyoumia ikifungwa Brazil, kweli mpira hauna mipaka ya kijiografiaPole jamaani pole sana Sesten yaani kutolewa Brazil na kombe kwako likaisha.
Haahaaaa. Haya bana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sesten Zakazaka baada ya kile kichapo cha Mbwa Koko [emoji12] [emoji12] [emoji12] leo weye ni team nani?
France ikitoka atalia kimoyo moyoNa atakuwa njia panda hasa. Tunaweza tusiione hiyo hali usoni ila kiukweli moyoni atapata tabu sana.
Hahahaaa. Pole sana na ni kweli mpira hauna mipaka kijiografia na wala sio uongo.Wee acha tu Hajar hata Taifa Stars ikifungwaga siumii kama ninavyoumia ikifungwa Brazil, kweli mpira hauna mipaka ya kijiografia
Aiseeee !!!Daah Henry anashiriki kupanga mipango ya kuiangusha nchi yake ya Ufaransa
Ingekuwa Bongo angeitwa sio mzalendo, msaliti
Sisi hua hatufanyi maajabu kwa kutwaa mataji Hajar,hiyo ni kawaida yetu, maajabu ni Brazil inapotolewa mashindanoniHahahaaa. Pole sana na ni kweli mpira hauna mipaka kijiografia na wala sio uongo.
Subiria Copa America mwakani, tena Brazil ndio atakuwa mwenyeji au World Cup ijayo kama tutakuwa hai Insha Allah huenda mkafanya maajabu.
Angetumiwa wazee waitwao WASIOJULIKANADaah Henry anashiriki kupanga mipango ya kuiangusha nchi yake ya Ufaransa
Ingekuwa Bongo angeitwa sio mzalendo, msaliti
Hata kama ni kawaida, ila unapaswa kukubali kuwa timu ilikuwa mbovu ndio maana ikaaga mapemaSisi hua hatufanyi maajabu kwa kutwaa mataji Hajar,hiyo ni kawaida yetu, maajabu ni Brazil inapotolewa mashindanoni
Hahahaaa. Hii kali Seten hivyo nyie kutolewa mashindanoni ndio maajabu? lol.Sisi hua hatufanyi maajabu kwa kutwaa mataji Hajar,hiyo ni kawaida yetu, maajabu ni Brazil inapotolewa mashindanoni
Mkeka wako mbona hauna mwendelezo?View attachment 806370
Huu mkeka nimeutandika tangu tarehe 29 june, hatua za makundi zilipomalizika.
Niliangalia mwenendo wa kila timu kwenye michuano hii pasipo na kuangalia ukubwa wa timu au ubora wa mchezaji fulani kwenye timu fulani ndio nika uandaa, hadi sasa nimelose/nimechaniwa vipande viwili tu.
Kila la kheri mkeka wangu, nusu fainali inanukia...
Nimeoanisha kila kitu, isipokuwa hatua ya mshindi wa 3 tuMkeka wako mbona hauna mwendelezo?
Dah! Niliona bandiko la huu mkeka nikawa sitaki kuamini hasa kuhusiana na mechi ya Brazil na Belgium lakini ndio kilichotokea kama kilivyo kwnye mkeka wako....unatisha mkuuView attachment 806370
Huu mkeka nimeutandika tangu tarehe 29 june, hatua za makundi zilipomalizika.
Niliangalia mwenendo wa kila timu kwenye michuano hii pasipo na kuangalia ukubwa wa timu au ubora wa mchezaji fulani kwenye timu fulani ndio nika uandaa, hadi sasa nimelose/nimechaniwa vipande viwili tu.
Kila la kheri mkeka wangu, nusu fainali inanukia...
Brazil ni kweli haikua nzuri sana mwaka huu na kocha pia alizingua upangaji wa kikosi, kutolewa mapema ilikua stahili yetu. Kwenye ranking za FIFA ubora wa nchi kisoka nilikua nashangaa Belgium wapo namba moja muda mfupi kabda ya kuanza FIFA WC lakini sasa nimepata majibuHata kama ni kawaida, ila unapaswa kukubali kuwa timu ilikuwa mbovu ndio maana ikaaga mapema