Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Hahahaaa, Dah! Umewashusha sana BrazilBaada ya Argentina kutolewa binafsi ladha imepungua sana tena sana...kwa brazil ni kawaida tu ni kama australia na panama
Kweli nanii hiyo inashinda Belgium ila ngoja tuone tusiseme sanaBelgium anapita,
Hao ni hatari ila nimependa hapo malikia alipo dab[emoji23] [emoji23]Hawa jamaa nilikuwa nawaunga mkono ila kwa sasa bora wapigwe tu tupumue.
Anhaaa, nishajua kidonda kingine kilipo kumbe sio jangwani tu!Heeeee. [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Kwa nini sasa?
Baba hongera kwa utabiri wako uliotukuka[emoji16]Mtazamo wangu kwa WC
1. Mexico wangeweza kuwazua Brazil. Nchi za Latin America zinajuana
Kwa bahati mbaya wacheza walikuwa na hofu wakisubiri itokee kama ilivyokuwa kwa Germany warudi kulinda goli. Walitegemea penaliti kuitoa Brazil, mbinu haikufanya kazi
2. Belgium ni timu nzuri. Kilichowatia kiwewe ni speed ya Japan wakikaribia goli
Walibadili mchezo na kwenda kasi. Japan walifanya makosa.
Kucheza na timu kama Belgium ukalinda magoli ni kukaribisha matatizo.imewagharimu
3. Uingereza wanategemea kuwafunga Colombia. Watafanya kosa kama hawatatambua Colombia inatoka Amerika kusini. Mpira wa cross unaweza kuwagharimu.
Wakifungwa moja tu, kurudisha itakuwa mbinde kama si kutoka
4. Sweden ni timu nzuri sana inategemewa kuwafunga Swiss kesho. Hili halina mjadala
Timu ninazodhani zitakazosonga mbele katika 4 bora
Uruguay , Croatia , Brazil, Sweden
Fainali ni FRANCE VS ENGLAND ambapo mwingeleza atachukua kombe kwa kutoa kichapo kitakatifu sana cha 2 - 0
England itawashangaza wengi itakapomtoa croatia.Fainali France\ Belgium vs croatia
Jamn wale tim France tujijtokeze
Mapemaa