Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Mimi niko na mkoloni wangu wa zamani..
[HASHTAG]#teamEngland[/HASHTAG]

Hata ingekuwa ni sisi Tanzania(tukaqualify kucheza WC)
tungeongea hadi majirani kama Kenya wakafunga mipaka
 
Baba hongera kwa utabiri wako uliotukuka[emoji16]
 
Leo ndio Leo Mtoto Hatumwi Gengeni, Ni Nusu Fainali ya kwanza ya WORLD CUP ambapo FRANCE anakipiga na BELGIUM. VARANE, na UMTITI wataweza Kuwazuia HAZARD na DE BRUYNE? Au ALDERWEIRD na KOMPANY wataweza Kuzima Moto wa MBAPPE? Nani Atashinda nani atarudi nyumbani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…