Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Salary Slip ukuje humu muzee! au nawe ume changanywa kwenye uhujumu uchumi? maana siku hizi hata ukiwaumbua wasio julikana unaitwa muhujumu uchumi
Wahujumu uchumi ni wao wanaotuingiza kwenye hasara za mabilioni kutokana na kukurupuka kwao.

Mimi binafsi ningependa sana Ubelgiji ashinde kwasababu hajawahi kupata hilo kombe na pia wanamtibu kamanda wetu kwa viwango vya kimataifa.
 
Naona saiz watu mnachambua kwa umakini,,,,, sio zaman mlikuwa mnataja tuu oooh brazil anachukua kombe, mara oooh germany anachukua kombe msimu huuu yeyote anabeba,,,,, cration
 
Munier leo hatakuwepo baada ya kupewa kati ya njano game against Brazil.
 
Nawashukuru kwa kumtunza lisu na kumpa ulinzi...Lakini leo Belgium anakula kipigo cha mbwa koko
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa hyo unataka kuniambia ile ahadi niliyopewa leo yakutunikiwa saa tatu usiku na mwanamke niliepambana nae kwa miaka miwili niipotezee?[emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Hapo kwa Mbappe hapo
 
Aaaah sasa shukrani gani hiyo? Inakuwa kama ile waliyopewa Nape na Mwigulu?
Mkuu soka ni kitu kingine..
Fikiria leo henry moyoni atakuwa anashabikia wapi?
Team yake ya taifa france au team yake anayoifundisha kama kocha msaidizi belgium

Kwahio mimi belgium nawaheshimu sana kwa moyo wao wa ukarimu kwa kaka yetu wa taifa lakini kwenye soka apigwe tu sababu france iko rohoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…