Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Vita ni Vita mura, I bet matokeo yatakuwa Belgium 1-0 France
1531203142037.jpg
 
We ISIS nini tena bwana? hebu piga dua kidogo basi mkuu! najua unakubaliana na mimi ni basi tuu unaogopa Bashiru asije kutembelea hapa na daftari la wapiga kura kama alivyokuwa ametumwa mjengoni ambako akamuorodhesha mpaka Kabudi wakati yuko Hospitali
 
Team France mupoooo?
Ila naumiaje jamani maana najua hakika leo kipenzi changu De Bruyne na Belgium wanatolewa ila ndio sina namna sasa.
Ufaransa kwanza [emoji1434]

Na kinachoniuma zaidi ni kuona kombe la Dunia linaishia kwenye mechi ya leo.
Eeeh,sasa kama France au Belgium wanakutana leo kuna fainali gani ya kusisimua? England vs France? No
Croatia vs France? No
Dah!
Waliopanga makundi walaaniwe.
 
Team France mupoooo?
Ila naumiaje jamani maana najua hakika leo kipenzi changu De Bruyne na Belgium wanatolewa ila ndio sina namna sasa.
Ufaransa kwanza [emoji1434]

Na kinachoniuma zaidi ni kuona kombe la Dunia linaishia kwenye mechi ya leo.
Eeeh,sasa kama France au Belgium wanakutana leo kuna fainali gani ya kusisimua? England vs France? No
Croatia vs France? No
Dah!
Waliopanga makundi walaaniwe.
Tuache hii kwanza

Umeona tumemsajilo banka kutuoka mtibwa sukari?
 
Team France mupoooo?
Ila naumiaje jamani maana najua hakika leo kipenzi changu De Bruyne na Belgium wanatolewa ila ndio sina namna sasa.
Ufaransa kwanza [emoji1434]

Na kinachoniuma zaidi ni kuona kombe la Dunia linaishia kwenye mechi ya leo.
Eeeh,sasa kama France au Belgium wanakutana leo kuna fainali gani ya kusisimua? England vs France? No
Croatia vs France? No
Dah!
Waliopanga makundi walaaniwe.
Kumbe unajua mpira, sema usiwe na wasiwasi matokeo mi nishayaona. Belgium 1 - 0 France
 
Back
Top Bottom