Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Mondric simuoni jaman delle ali mbaya sana kwa kazi aliyopewa
 
Daa aiseee mbona hawa washabiki wa uingereza wanaonekana wamepindaa yaani kuna clip nimeiona

Kuna masela wakula bangi na kunywa gongo sijui pombe ile wamekaa viti vya juuu hawa jamaa wanaonekana wamepinda hatari
 
Nadhani hapa akili zitawarudi maana wamechezea nafasi kipindi cha kwanza ...Lingard na Kane Lawama zitakuwa kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…