Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Naomba kuuliza...je England iliwakosea nini Watanzania mlio wengi? Mathalani Tanzania si miongoni mwa timu zinazoshiriki World Cup, kwa nini tusishabikie tu timu inayotandaza kandanda safi na kufunga mabao? Brazil ilikung'utwa 5-0 World Cup iliyopita lakini unakuta watu humu eti hawaipendi timu iliyowatoa juzi. Nitaishangilia Tanzania kama inafanya vizuri lakini sina sababu ya kuwachukia England kama wanafunga mabao...huo nauita ushabiki maandazi!
Alafu unakuta wanashabikia club za England lkn timu ya taifa full unafki
 
huyu coach wa england ana historia gan kwan? Katokea wap? Maana hapa mambo yalipofkia nimecha kumchukulia poa poa. Inanipa matumain pengne hata sizonje anatupeleka pazuri
 
huyu coach wa england ana historia gan kwan? Katokea wap? Maana hapa mambo yalipofkia nimecha kumchukulia poa poa. Inanipa matumain pengne hata sizonje anatupeleka pazuri
Alikuwa ni beki wa Middlesbrough na timu ya taifa, alikuwa ni kocha wa timu ya vijana ya England..... anakuwa ni kocha wa pili katika historia ya England kuwapa kombe la dunia
 
huyu coach wa england ana historia gan kwan? Katokea wap? Maana hapa mambo yalipofkia nimecha kumchukulia poa poa. Inanipa matumain pengne hata sizonje anatupeleka pazuri
Alikuwa kocha wa timu za vijana za Taifa kwani sizonje amewahi kuwa hata balozi wa ccm mahali kwamba anakijua chama?
 
Screenshot_2018-07-11 Instagram.png
 
Back
Top Bottom