laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
Croatia hawana uwezo wa kurudisha hilo goli...labda England waongoze...England ndio mabingwa wa kombe la dunia hakuna wa kuwazuia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii game imeisha England wameshinda...Croatia wamezidiwa kila idaraTukimuingiza na vady ma mbio wamekwisha hawa nimegundua wazito kukimbia
Alafu unakuta wanashabikia club za England lkn timu ya taifa full unafkiNaomba kuuliza...je England iliwakosea nini Watanzania mlio wengi? Mathalani Tanzania si miongoni mwa timu zinazoshiriki World Cup, kwa nini tusishabikie tu timu inayotandaza kandanda safi na kufunga mabao? Brazil ilikung'utwa 5-0 World Cup iliyopita lakini unakuta watu humu eti hawaipendi timu iliyowatoa juzi. Nitaishangilia Tanzania kama inafanya vizuri lakini sina sababu ya kuwachukia England kama wanafunga mabao...huo nauita ushabiki maandazi!
Ila sema crotia mechi kama mbili katokea nyuma na kushindaHii game imeisha England wameshinda...Croatia wamezidiwa kila idara
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]aiseee na n kweli wala co uongoHawa ndo wanaitia gundu Croatia
Haya buanaTunawalaza mapema tukirud kipind cha pili tunapiga chuma cha pili mchezo umeisha
Ona sasa washafungwa chanzo ni wabongo nuksi hao na waliobet.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]aiseee na n kweli wala co uongo
Kama ya Mbappe jana. Ni ujinga kwasababu yeye ni beki, sasa hivi anacheza kwa machaleWalker anapata kadi ya kijinga
Sioni wakirudisha zaidi ya kuongezwa!Hii game imeisha England wameshinda...Croatia wamezidiwa kila idara
Alikuwa ni beki wa Middlesbrough na timu ya taifa, alikuwa ni kocha wa timu ya vijana ya England..... anakuwa ni kocha wa pili katika historia ya England kuwapa kombe la duniahuyu coach wa england ana historia gan kwan? Katokea wap? Maana hapa mambo yalipofkia nimecha kumchukulia poa poa. Inanipa matumain pengne hata sizonje anatupeleka pazuri
Alikuwa kocha wa timu za vijana za Taifa kwani sizonje amewahi kuwa hata balozi wa ccm mahali kwamba anakijua chama?huyu coach wa england ana historia gan kwan? Katokea wap? Maana hapa mambo yalipofkia nimecha kumchukulia poa poa. Inanipa matumain pengne hata sizonje anatupeleka pazuri
Jinsi watavyotulia na england watatulia zaidi.Croatia wakitulia wanachomoa