Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Watu wa humu sijui hawafuatilii mpira sijui ni ubishi tu, inaipa heko England kwa Croatia, kwanza washukuru Mungu Croatia wachezaji wake wanaonakana kama bado wamechoka.
Croatia imeanza mashindano Kwa Speed kali lkn siku zinavyozidi kwenda wanashinda kimiujiza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…