hahahaKama utani vile 20 imepona na Papuchu katuma hahaaa. Huu mpira huuu waweza ua urafk kama si strong
Dhaaaaaaaa hyo n bahar ama n swimming poolAisee
Sterling kawakimbiza mbaya sasa wakikutana na mbape + greizman si ndo wataliaTimu zote Leo zilikuwa za Kichovu
wasamehe mkuu wachezaj wa england nliongea nao jana wakanambia wana stress za brexit ..Mkuu, katika uzi huu mapema sana nilisema Croatia ni timu ya fainali
Niliona uchezaji wao ni wa kiwango cha hali ya juu sana
England wakipata goli wanatulia kana kwamba hawahitaji tena kushinda
Ufaransa sikuipa nafasi kama Croatia. Hii timu ni kali sana naona Kombe la dunia likielekea huko
Mashabiki wa London 'it's coming home...' naona hali ni mbaya sana
Uzuri wa ufaransa kama watacheza kwa mchezo wao wa kujaza viungo, hapo wanaweza kuwazuia Croatia, otherwise hii ni timu ya Ubingwa
Michezo ya makundi niliwaita England kama low energy, watu walibeza. Sijui huko waliko hali ipoje. It's over na ni mwaka England ilikuwa na matumaini makubwa sana.
Croatia wamecheza kichovu kwasababu mechi mbili mfululizo wamecheza dk 120. Wanahitaji kupumzikaTimu zote Leo zilikuwa za Kichovu
Mwaka huu au hii hatua waliofuzu ni ya Robo fainali ya Kagame?Mwaka upi wamefika final wewe acha kamba?
sio ulale hyo furaha mshirikishe bwn habibuSikutaka kupoteza hata sekunde nje ya screen,ilikuwa ni mechi niliyoisubiri kwa hamu sana.
Ngoja nilale sasa,nina rahaaaaaaaaaaa.
Naona kama unajizungusha tuMwaka huu au hii hatua waliofuzu ni ya Robo fainali ya Kagame?
vjn wadg ila wapga puri .. thats a problem hebu kachek ka steringIla england wamejitahidi sana kikosi kilikuwa na vijana wadogo wengi credit kwao watafanya vyema wakifikisha miaka ya luka na perisic huko baadae.
Atakomaa tu muda ukifikavjn wadg ila wapga puri .. thats a problem hebu kachek ka stering
Hongera[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
ana mahaba[emoji4] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji3] anasubiri tatu boraaa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wanaoshabikia England hawajui mpira ni wapenzi wa mpira wa juzijuzi.Ila ukitaka kujua mtu kama ana akili za kawaida angalia timu anazoshabikia WC.
Hivi mtu kwa akili timamu unashabikia Wiingereza ukiamini kuwa itakupa Kombe kweli?
Akili hupimwa kwa mambo madogo sana, unategemea Vardy, Lingard, Rashford wakuletee kombe kweli!
Hata kama wangeingia fainali na timu ya Magongo bado tu wangefungwa, watu wanawekeza kwenye uwanja wao wanawekeza kwenye Vyombo vya habari.
"Kama mkoloni kama Tanzania"
Sio kuwa hawajui mpira bali hata uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana.Wanaoshabikia England hawajui mpira ni wapenzi wa mpira wa juzijuzi.