Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Mandzukic take Croatia to the fainal. While BA take three lion home.
1531342692602.jpeg
 
Nilipenda washinde England ili wakutane na Ufaransa lakini naona leo viatu walivyovaa ni vikubwa mno...

Maana hawa jamaa walishachukua kombe mdomoni.
 
Mkuu, katika uzi huu mapema sana nilisema Croatia ni timu ya fainali
Niliona uchezaji wao ni wa kiwango cha hali ya juu sana

England wakipata goli wanatulia kana kwamba hawahitaji tena kushinda

Ufaransa sikuipa nafasi kama Croatia. Hii timu ni kali sana naona Kombe la dunia likielekea huko
Mashabiki wa London 'it's coming home...' naona hali ni mbaya sana

Uzuri wa ufaransa kama watacheza kwa mchezo wao wa kujaza viungo, hapo wanaweza kuwazuia Croatia, otherwise hii ni timu ya Ubingwa

Michezo ya makundi niliwaita England kama low energy, watu walibeza. Sijui huko waliko hali ipoje. It's over na ni mwaka England ilikuwa na matumaini makubwa sana.
wasamehe mkuu wachezaj wa england nliongea nao jana wakanambia wana stress za brexit ..
 
Ila ukitaka kujua mtu kama ana akili za kawaida angalia timu anazoshabikia WC.

Hivi mtu kwa akili timamu unashabikia Wiingereza ukiamini kuwa itakupa Kombe kweli?

Akili hupimwa kwa mambo madogo sana, unategemea Vardy, Lingard, Rashford wakuletee kombe kweli!

Hata kama wangeingia fainali na timu ya Magongo bado tu wangefungwa, watu wanawekeza kwenye uwanja wao wanawekeza kwenye Vyombo vya habari.

"Kama mkoloni kama Tanzania"
 
Ila ukitaka kujua mtu kama ana akili za kawaida angalia timu anazoshabikia WC.

Hivi mtu kwa akili timamu unashabikia Wiingereza ukiamini kuwa itakupa Kombe kweli?

Akili hupimwa kwa mambo madogo sana, unategemea Vardy, Lingard, Rashford wakuletee kombe kweli!

Hata kama wangeingia fainali na timu ya Magongo bado tu wangefungwa, watu wanawekeza kwenye uwanja wao wanawekeza kwenye Vyombo vya habari.

"Kama mkoloni kama Tanzania"
Wanaoshabikia England hawajui mpira ni wapenzi wa mpira wa juzijuzi.
 
Back
Top Bottom