Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23],Yaani wanacheza mpira wa ujanja ujanja tu,mara penalty mara VAR,yaani ilimradi tu wameshinda.Kama leo kigoli kimoja yanarudi kati kujaa kama kumbikumbi.Halafu ndo wanataka wakabebe WC.Yaani WC imekua kama Mbuzi cup?..
 
Aisee! Nimecheka kwa sauti. Goli moja yanarudi kati kujaa kama kumbikumbi😀😀😀
 
England hawana hata mchezaji mmoja mwenye mafanikio makubwa hata ya Club wanataka kubeba WC hata wachezaji wengine hawajagusa Community Shield [emoji23] [emoji23] [emoji23].
 
Wakati naangalia mpira usiku huu nilikuwa na mzee mmoja namheshimu nasikia analalamika tu kuhusu uchezaji wa England nikamwangalia nikasema Hiiiiiiiiii
Rashford anacheza mpira bila malengo yeye anachezea mpira tu. Lingard ndo usiseme anakimbia tu kama tipa tripu hii anabeba mchanga inayorudi anabeba kokoto. England ni hovyo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…