joely sandu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 1,962
- 1,818
Tuma picha nimuoneHapo bado hujamuona rais wao na jezi ilivyomkubali. Lazima wakaze.
Ndo akili za mashabiki wa England hizi. Nilijua tu.Uliachoandika hata hakieleweki sijui ulikusudia nini
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23] [emoji23] [emoji23] mrembovic
Ugiriki 2004 ulimuona?Kuna Tumbili huko juu naona anarukaruka kwa kelele nyingi kama kakatwa mkia.
Mzee Mpira sio Biko kwamba hata ukiwa Matumbi unaweza kushinda, mpira ni maandalizi, utayari na juhudi kama unapeleka vitoto Wc unahisi hilo kombe wataliiba?
Kuna watanzania mazezeta sana hivi unatembea njiani unawaza England ichukue ubingwa kweli hiyo si dalili ya Kisonono kuanza kula mtindio wa Ubongo.
lingard hana tofaut na yule mbrazil wa yanga bonge bonge flan muuza maandaz huko kwaoRashford anacheza mpira bila malengo yeye anachezea mpira tu. Lingard ndo usiseme anakimbia tu kama tipa tripu hii anabeba mchanga inayorudi anabeba kokoto. England ni hovyo kabisa.
Hahaha bongo bahati mbaya kwa hiyo mashabiki wa ujeruman wana akiliNdo akili za mashabiki wa England hizi. Nilijua tu.
[emoji3][emoji3][emoji3]walivyocheza na Sweden nilimpa Sweden I wonder what happened that day!seriously England walishinda[emoji3]!Kuna Tumbili huko juu naona anarukaruka kwa kelele nyingi kama kakatwa mkia.
Mzee Mpira sio Biko kwamba hata ukiwa Matumbi unaweza kushinda, mpira ni maandalizi, utayari na juhudi kama unapeleka vitoto Wc unahisi hilo kombe wataliiba?
Kuna watanzania mazezeta sana hivi unatembea njiani unawaza England ichukue ubingwa kweli hiyo si dalili ya Kisonono kuanza kula mtindio wa Ubongo.
Uyo achana nae ndo wale wale wenye uwezo mdogo wa. KufikiriKuna Tumbili huko juu naona anarukaruka kwa kelele nyingi kama kakatwa mkia.
Mzee Mpira sio Biko kwamba hata ukiwa Matumbi unaweza kushinda, mpira ni maandalizi, utayari na juhudi kama unapeleka vitoto Wc unahisi hilo kombe wataliiba?
Kuna watanzania mazezeta sana hivi unatembea njiani unawaza England ichukue ubingwa kweli hiyo si dalili ya Kisonono kuanza kula mtindio wa Ubongo.
karibu katika ulimwengu wa matahira ... tunakuchagua uwe mwenyekitKweli nimeamini watanzania wengi ni vichaa na wajuaji hadi wanapitikiza na kutia kinyaa et mtu anashabikia uingereza hajui mpira
Kwa hiyi wale mashabiki wa sunderland na west ham hawajui mpira kwa kuwa hazichukui makombe?
Nchi hii ina matahira balaa
[emoji120] [emoji120]Asante sana, Chief. Kwako pia.
wewe una akili ?Hahaha bongo bahati mbaya kwa hiyo mashabiki wa ujeruman wana akili
Wenyeviti ni mashabiki wanaojua mpirakaribu katika ulimwengu wa matahira ... tunakuchagua uwe mwenyekit
Ugiriki nayo ni timu yako kumbe.Ugiriki 2004 ulimuona?
Naomba kujua umri wako kwanza maana Nina wasi was I na wewNdo mana nchi ina timu mbili simba na yanga kwa ushabiki maandazi wa mafanikio sasa kila mmoja akishabikia brazil na kuipenda nani atatoa changamoto
Au watu mlitaka muwepo mnaoshabikia crotia peke yenu hapa
Maajabu ni mengi tanzania
Hahahaha..Lingard mwenyewe angekusikia angekurushia nyanya mbovu..hahahhaalingard hana tofaut na yule mbrazil wa yanga bonge bonge flan muuza maandaz huko kwao
Mkuu unaichukia england kichizi, ila nimeona avatar nikajua kwann.Kuna Tumbili huko juu naona anarukaruka kwa kelele nyingi kama kakatwa mkia.
Mzee Mpira sio Biko kwamba hata ukiwa Matumbi unaweza kushinda, mpira ni maandalizi, utayari na juhudi kama unapeleka vitoto Wc unahisi hilo kombe wataliiba?
Kuna watanzania mazezeta sana hivi unatembea njiani unawaza England ichukue ubingwa kweli hiyo si dalili ya Kisonono kuanza kula mtindio wa Ubongo.
Ni mshabik wa crotia?wewe una akili ?
wewe ni tahira au sioWenyeviti ni mashabiki wanaojua mpira