Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Kuna Tumbili huko juu naona anarukaruka kwa kelele nyingi kama kakatwa mkia.

Mzee Mpira sio Biko kwamba hata ukiwa Matumbi unaweza kushinda, mpira ni maandalizi, utayari na juhudi kama unapeleka vitoto Wc unahisi hilo kombe wataliiba?

Kuna watanzania mazezeta sana hivi unatembea njiani unawaza England ichukue ubingwa kweli hiyo si dalili ya Kisonono kuanza kula mtindio wa Ubongo.
Ugiriki 2004 ulimuona?
 
Rashford anacheza mpira bila malengo yeye anachezea mpira tu. Lingard ndo usiseme anakimbia tu kama tipa tripu hii anabeba mchanga inayorudi anabeba kokoto. England ni hovyo kabisa.
lingard hana tofaut na yule mbrazil wa yanga bonge bonge flan muuza maandaz huko kwao
 
Kuna Tumbili huko juu naona anarukaruka kwa kelele nyingi kama kakatwa mkia.

Mzee Mpira sio Biko kwamba hata ukiwa Matumbi unaweza kushinda, mpira ni maandalizi, utayari na juhudi kama unapeleka vitoto Wc unahisi hilo kombe wataliiba?

Kuna watanzania mazezeta sana hivi unatembea njiani unawaza England ichukue ubingwa kweli hiyo si dalili ya Kisonono kuanza kula mtindio wa Ubongo.
[emoji3][emoji3][emoji3]walivyocheza na Sweden nilimpa Sweden I wonder what happened that day!seriously England walishinda[emoji3]!
 
Kuna Tumbili huko juu naona anarukaruka kwa kelele nyingi kama kakatwa mkia.

Mzee Mpira sio Biko kwamba hata ukiwa Matumbi unaweza kushinda, mpira ni maandalizi, utayari na juhudi kama unapeleka vitoto Wc unahisi hilo kombe wataliiba?

Kuna watanzania mazezeta sana hivi unatembea njiani unawaza England ichukue ubingwa kweli hiyo si dalili ya Kisonono kuanza kula mtindio wa Ubongo.
Uyo achana nae ndo wale wale wenye uwezo mdogo wa. Kufikiri
 
Kweli nimeamini watanzania wengi ni vichaa na wajuaji hadi wanapitikiza na kutia kinyaa et mtu anashabikia uingereza hajui mpira


Kwa hiyi wale mashabiki wa sunderland na west ham hawajui mpira kwa kuwa hazichukui makombe?

Nchi hii ina matahira balaa
karibu katika ulimwengu wa matahira ... tunakuchagua uwe mwenyekit
 
Ndo mana nchi ina timu mbili simba na yanga kwa ushabiki maandazi wa mafanikio sasa kila mmoja akishabikia brazil na kuipenda nani atatoa changamoto

Au watu mlitaka muwepo mnaoshabikia crotia peke yenu hapa

Maajabu ni mengi tanzania
Naomba kujua umri wako kwanza maana Nina wasi was I na wew
 
Kuna Tumbili huko juu naona anarukaruka kwa kelele nyingi kama kakatwa mkia.

Mzee Mpira sio Biko kwamba hata ukiwa Matumbi unaweza kushinda, mpira ni maandalizi, utayari na juhudi kama unapeleka vitoto Wc unahisi hilo kombe wataliiba?

Kuna watanzania mazezeta sana hivi unatembea njiani unawaza England ichukue ubingwa kweli hiyo si dalili ya Kisonono kuanza kula mtindio wa Ubongo.
Mkuu unaichukia england kichizi, ila nimeona avatar nikajua kwann.
 
Back
Top Bottom