Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Ili tuwe na akili lazima tushangilie crotia
Wa brazil nao vichaa tu


Tanzania
 
Aya. Ndo matatizo ya ukoloni yapo adi leo
 
Only time will tell. Tangu niandike kuhusu mashindano haya nimemiss prediction moja tu ambayo ilitokana zaidi na woga wa waswede dhidi ya waingereza. Kwa sasa tusubiri huyo "tumbili aliyekatwa mkia" atasemaje huko mbeleni; ni suku chache tu zimebaki. Kombe linakwenda Ufarnsa kirahisi sana ndani ya Air France. Utabiri wangu hautokani na France kuwa na "wamatumbi" wengi kwani hata Ubelgiji na Uingereza zilikuwa na matumbi pia, ni kutokana na timu inavyomudu mchezo wakiwa uwanjani. Najua kuwa kuna mafisi wengi sana watalia kuona kombe hilo linakwenda ufaransa!
 
Naam mkuu, you are very right, mimi kama shabiki mkubwa wa soka naangalia timu inavyocheza na katika soka ninachoshangilia ni mpira kutinga wavuni. Ninachojali ni matokeo na timu hata kama inacheza vizuri namna gani lakini kama ama hawafungi au hawalindi goli lao wasifungwe basi kwangu haifai. Baada ya leo nakiri timu ya England bado changa na Kombe la dunia wataendelea kuiota tu hadi watakapokomaa.
 
Hatimaye Maajabu yanakwenda timia jumapili hii huko Russia
Mungu amekua na mpango wake wa siri katika Kombe Hili na ndiyo maana limekua na matokeo ya kushangaza
Na kumbe alitaka apime uwezo wetu weusi uko level gani
Kidogo imemstua sasa anataka ajiridhishe jumapili hii.
Viva wa afrika!!!
 
Ni usiku wa manane sasa. Nenda kakojoe halafu kalale.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…