Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Tumbili aliyekatwa mkia alisema ukweli, siyo!

Jizoeze kuwa unatumia lugha nzuri kuliko matusi kwenye mijadala ya humu.
Huyo mkuu alinishambulia sana bora umemuona nilimwambia kwa mpira aliopiga uingereza hao crotia kumfunga france ni ngumu jamaa aliniita tumbili nafikir kwa sasa kichwa kakitumbukiza kwenye mchanga kwa aibu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pogba bana kapagawa
 
Huyo mkuu alinishambulia sana bora umemuona nilimwambia kwa mpira aliopiga uingereza hao crotia kumfunga france ni ngumu jamaa aliniita tumbili nafikir kwa sasa kichwa kakitumbukiza kwenye mchanga kwa aibu
Ila mkuu croatia imepiga mpira tuwe wakweli ila ni mistake chache tu zimewacost ila france alizidiwa kila sekta hasa midfield
 
Hawa wachezaji bana visimu gani hivyo walivyonavyo
 
KadatA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…