Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Mfahamu KYLIAN (AMBAKISYE) ASUMWIKE MPEPE almaarufu MBAPPE ni kijana wa Kitanzania aliyezaliwa huko Ufaransa.
Mbappe ni mchezaji wa kimataifa wa timu ya Ufaransa.
Baba yake mzazi anatokea kitongoji cha Itebe katika kijiji cha Ikubo huko Mwakaleli-Busokelo(zamani Rungwe Mashariki)

Mr. Asumwike Mpepe Mwalugelo ni Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake na watoto, alikwenda nchini Ufaransa mwaka 1995 kufanya kazi katika taasisi ya Afya ya Ufaransa.
Alikutana na mwanamke mwenye asili ya Algeria anayeitwa FAYZA mwaka 1997 na kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na walioana January 2 mwaka 1998 huko PARIS.
Tarehe 20 December walibahatika kupata mtoto wa kiume waliyempa jina la KYLIAN lakini Baba yake akampa jina la Kinyakyusa AMBAKISYE.

Huyu ndio KYLIAN MBAPPE kijana wa Kitanzania aliyepeleka kilioa huko mjini Buenos Aires, Argentina!


WANYAKYUSA ACHENI UBISHI.
Personal life
Mbappé was born in Paris.[3] His father Wilfried hails from Cameroon and, as well as being his agent, is a football coach, while his Algerian mother Fayza is a former handball player.[6] His adoptive brother Jirès Kembo Ekoko is also a professional football player.[47]He also has a younger brother named Adeyemi Mbappé.[8][48] Mbappé has stated that growing up he idolized Cristiano Ronaldo
 
Back
Top Bottom