Mfahamu KYLIAN (AMBAKISYE) ASUMWIKE MPEPE almaarufu MBAPPE ni kijana wa Kitanzania aliyezaliwa huko Ufaransa.
Mbappe ni mchezaji wa kimataifa wa timu ya Ufaransa.
Baba yake mzazi anatokea kitongoji cha Itebe katika kijiji cha Ikubo huko Mwakaleli-Busokelo(zamani Rungwe Mashariki)
Mr. Asumwike Mpepe Mwalugelo ni Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake na watoto, alikwenda nchini Ufaransa mwaka 1995 kufanya kazi katika taasisi ya Afya ya Ufaransa.
Alikutana na mwanamke mwenye asili ya Algeria anayeitwa FAYZA mwaka 1997 na kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na walioana January 2 mwaka 1998 huko PARIS.
Tarehe 20 December walibahatika kupata mtoto wa kiume waliyempa jina la KYLIAN lakini Baba yake akampa jina la Kinyakyusa AMBAKISYE.
Huyu ndio KYLIAN MBAPPE kijana wa Kitanzania aliyepeleka kilioa huko mjini Buenos Aires, Argentina!
WANYAKYUSA ACHENI UBISHI.