Refa anawabeba uingereza. Maguire anadive ila wala hatoi kadi ila kwa colombia anazimwaga tu.
Kaushindwa mchezo!
masikini wacolombia hawajui kiingereza kila wakijaribu kuwasiliana na refa haiwezekani
Falcao kupigwa kiatu cha kichwa kauchuna, VAR sometimes haina umuhimu au labda wale majamaa wanaponoka, mpira filimbi nyingi kama sangura.Na ilikuwa kiduchu tu awape bao la offside. Falcao kalalamika kalamba yellow. Kweli refa huu mchezo ashapoteza mwelekeo
ni kosa kubwa sana kusema penati nyepesi refa yupo kwa ajili ya kusimamia sheria 17 haijalishi ilikuwa nzito au nyepesi kama ana hatia weka katiRefa nae anamkeka wake mbona Penati nyepesi hii.
ukizingatia refa mwenyewe mmarekani, ambao wanajifanyaga wanaundugu na nchi za ulaya kuliko wa america wenzaoWakiongea Refa haelewi anawatwanga kadi tu
Hakuna refa mwingereza hii world cup...masikini wacolombia hawajui kiingereza kila wakijaribu kuwasiliana na refa haiwezekani
Tatizo hizo sheria 17 anaply upande mmoja tu.ni kosa kubwa safi kusema penati nyepesi refa yupo kwa aajili ya kusimamia sheria 17 haijalishi ilikuwa nzito au nyepesi kama ana hatia weka kati
mi sijazungumzia uraia wake nimezingumzia lugha anayotumia..ni mmarekaniHakuna refa mwingereza hii world cup...
Wameshajikatia tamaa.Colombia wamepoteza confidence, wamekuwa waoga.