Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Na ilikuwa kiduchu tu awape bao la offside. Falcao kalalamika kalamba yellow. Kweli refa huu mchezo ashapoteza mwelekeo
Falcao kupigwa kiatu cha kichwa kauchuna, VAR sometimes haina umuhimu au labda wale majamaa wanaponoka, mpira filimbi nyingi kama sangura.
 
ni kosa kubwa safi kusema penati nyepesi refa yupo kwa aajili ya kusimamia sheria 17 haijalishi ilikuwa nzito au nyepesi kama ana hatia weka kati
Tatizo hizo sheria 17 anaply upande mmoja tu.
 
Back
Top Bottom