Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Mtazamo wangu kwa WC

1. Mexico wangeweza kuwazua Brazil. Nchi za Latin America zinajuana
Kwa bahati mbaya wacheza walikuwa na hofu wakisubiri itokee kama ilivyokuwa kwa Germany warudi kulinda goli. Walitegemea penaliti kuitoa Brazil, mbinu haikufanya kazi

2. Belgium ni timu nzuri. Kilichowatia kiwewe ni speed ya Japan wakikaribia goli
Walibadili mchezo na kwenda kasi. Japan walifanya makosa.
Kucheza na timu kama Belgium ukalinda magoli ni kukaribisha matatizo.imewagharimu

3. Uingereza wanategemea kuwafunga Colombia. Watafanya kosa kama hawatatambua Colombia inatoka Amerika kusini. Mpira wa cross unaweza kuwagharimu.
Wakifungwa moja tu, kurudisha itakuwa mbinde kama si kutoka

4. Sweden ni timu nzuri sana inategemewa kuwafunga Swiss kesho. Hili halina mjadala

Timu ninazodhani zitakazosonga mbele katika 4 bora
Uruguay , Croatia , Brazil, Sweden
Good,Gooder,Goodest
 
Still hii Final yangu.

Uruguay [emoji1257] [emoji739] Belgium [emoji1045]
Kombe la dunia la safari hii utabiri umekuwa ni mgumu sana. History zinauliwa na history kwa upande mwengine zinazaliwa upya. Ngoja tuone.
 
Yap kwa kombe La mwaka huu ni kweli,ila huyu Ubelgiji nimeshampunguzia maksi.Mjapan kamtoa Jasho mno
Wanasema taraji usichokitarajia, naona mizani ya kwenye soka la kimataifa kidogo kwa kiasi chake inakuwa sawa bin sawia. Kuhusu Japan ukirejelea kwenye historia yao ya soka hawa majamaa nyota yao ilishaanza kung'aa kitambo tu, mbelgiji yupo vizuri ila soka limebadilika sasa hivi na tuendelee kuangalia na yajayo yatastaajabisha zaidi coz anything can happen.
 
This is one of the most cleanest games so far this in this [HASHTAG]#WorldCup[/HASHTAG], no fouls, no cards, no divings, no VAR drama, just plain, clean, interesting football.

Thank you Japan & Belgium ❤️

[HASHTAG]#BELJPN[/HASHTAG] l
 
Back
Top Bottom