Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Umeshinda mkuu, harry kane ni bonge la straiker kombe la dunia hili, hamna mwingine ana magoli sita kafunga.
Ila kwangu mimi na yeyote anayejua mpira, straiker anayefunga magoli 4 na 3 kati ya hayo 4 ni ktk open play na yule anayefunga magoli 6 na 4 kati ya hayo sita ni penati na moja kati ya hayo sita ni deflection, kwa lugha nyingine kafunga goli moja tu ktk open play, kwangu yule wa goli tatu ni deadly zaidi.
Hail To the King, acheni unafiki wa kiswahili swahili.



"Hi is on top, looking for the golden booty"


Sio mimi hayo ni Maneno ya Mtangazaji mkongwe kutoka Visiwa vya Uingereza Kamarada Peter Drury
 
Hail To the King, acheni unafiki wa kiswahili swahili.



"Hi is on top, looking for the golden booty"


Sio mimi hayo ni Maneno ya Mtangazaji mkongwe kutoka Visiwa vya Uingereza Kamarada Peter Drury
Golden booty ndio nini mkuu
 
Matokeo Gani muhimu wamepata colombia. Mkuu umekunywa safari[emoji1] [emoji1]


Timu iko inajiandaa kukwea pipa irudi kwao colombia unasema imepata matokeao muhimu au ulikuwa unaangalia ndondo cup ya shaffih dauda??? Maana kuna team inaitwa colombia ni ya Vikindu imeshinda leo 1-0...
Sijasema matokeo, nilichosema ni gioli muhimu lililopelekea extra time na matuta. Colombia kwa vigezo vingi haikupaswa kwenda kwenye matatu

Mfano, Kadi nyingi na kuwafanya wachezaji kuwa vulnerable kwa red card. Hii ni advantage kwa England na kwa timu nzuri Colombia wangepokea kipigo mapema

Kitendo cha kurudisha goli dk za majeruhi na kupeleka mechi kwenye matatu si ushujaa wa Columbia ni udhaifu wa England.

Mkuu najua England ni kipenzi lakini tuite spade spade siyo kijiko kikubwa

Low energy, disorganized and confused England lol
 
Hebu tuonyeshe frustrations za England zinaonekana vipi quantitatively katika takwimu.
Qualitatively tunajua England ilikuwa disarrayed , disorganized with low energy. Hazipo katika takwimu. Takwimu ni snapshot ya kukusaidia kuelewa big picture si utimilifu wa kila kitu

Pili, kudumaa kwa viungo wa England hakuonekani katika takwimu, tunaweza kuona kupitia ball possession na accurate pass ikiwemo pressure kwa England.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]


Unaelewa maana ya distribution na duels kwenye kabumbu mkuu????

Nimekuwekea hizo takwimu hapo mkuu. Kote wakolombia wamezidiwa. Sasa kwa taarifa yako Distribution kwa zaidi ya 70% hufanywa na viungo... Nadhani jibu unalo kwa hoja yako kuwa viungo vya england ilizidiwa.
 
Hail To the King, acheni unafiki wa kiswahili swahili.



"Hi is on top, looking for the golden booty"


Sio mimi hayo ni Maneno ya Mtangazaji mkongwe kutoka Visiwa vya Uingereza Kamarada Peter Drury
Maneno ya mtangazaji mkongwe kutoka visiwa vya uingereza, ulitaka aseme nini juu ya penati 4 ktk goli sita.
Nikikwambia Danny Murphy alibisha na kudai kuwa goli la Mina, mina alimsukuma maguire, utamuunga mkono?
England wamepita sawa, jana walikuwa bize kumsema neymar kuwa anaanguka anguka ila nao leo ilikuwa hivyo hivyo. Wanaweza sogea ila hawachukui kombe.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]


Unaelewa maana ya distribution na duels kwenye kabumbu mkuu????

Nimekuwekea hizo takwimu hapo mkuu. Kote wakolombia wamezidiwa. Sasa kwa taarifa yako Distribution kwa zaidi ya 70% hufanywa na viungo... Nadhani jibu unalo kwa hoja yako kuwa viungo vya england ilizidiwa.
Then kwanini mechi ilikwenda extra time na ushindi wa matatu?\

Siyo suala la kufungwa tumefungwa lakini chenga tumewala. No ! ni input and ouput

Low energy England!
 
Sijasema matokeo, nilichosema ni gioli muhimu lililopelekea extra time na matuta. Colombia kwa vigezo vingi haikupaswa kwenda kwenye matatu

Mfano, Kadi nyingi na kuwafanya wachezaji kuwa vulnerable kwa red card. Hii ni advantage kwa England na kwa timu nzuri Colombia wangepokea kipigo mapema

Kitendo cha kurudisha goli dk za majeruhi na kupeleka mechi kwenye matatu si ushujaa wa Columbia ni udhaifu wa England.

Mkuu najua England ni kipenzi lakini tuite spade spade siyo kijiko kikubwa

Low energy, disorganized and confused England lol
Ulitaka vigezo vipi ndio viwe sababu ya kwenda kwenye matuta.


England kafunga goli, wamesawazisha. Penalt wametoka. Sasa tatizo ni nini. Huo ndio mpira au ulitaka England kwa sababu anaongoza 1-0 mechi ndio iishe kabisa. Huo sio mpira na haitokuja kutokea mpira kuwa hivyo. Mpira ni vuta ni kuvute.


Kwa mtazamo wako huo hata game ya Jana ya Belgium vs Japan unaweza kuwa na hayo mawazo yako kuwa Beligium ni team ya hovyo.
 
Maneno ya mtangazaji mkongwe kutoka visiwa vya uingereza, ulitaka aseme nini juu ya penati 4 ktk goli sita.
Nikikwambia Danny Murphy alibisha na kudai kuwa goli la Mina, mina alimsukuma maguire, utamuunga mkono?
England wamepita sawa, jana walikuwa bize kumsema neymar kuwa anaanguka anguka ila nao leo ilikuwa hivyo hivyo. Wanaweza sogea ila hawachukui kombe.
Mpira wa kona ni ngumu sana kuona tatizo kama hilo. Hata kabla ya kusukumwa, England hawakupaswa kutoa kona
Kona ilikuja kwasababu walirudi nyuma, hakuna kiungo, wakaruhusu mabeki kupanda, forward ikawa dormant , kona na kisha goli

Ni kweli nakubaliana na kujiangusha kwa Neymar na timu ya Brazil. Refa aliona hilo akawa anapeta
Ndiyo maana nasema kwa Croatia kama ilivyokuwa Serbia, Brazil watakwama ikitokea kukutana

Kwa England hakuna kusogea, hapo kwa Sweden baada ya dk 90 ni kurudi hotelini na kuchukua mabegi. Low Energy kama England haiwezi kusogea katika 4. Lakini miujiza ipo , mimi siamini hilo katika soka

Disorganized England!
 
Then kwanini mechi ilikwenda extra time na ushindi wa matatu?\

Siyo suala la kufungwa tumefungwa lakini chenga tumewala. No ! ni input and ouput

Low energy England!
Mechi imekwenda extra time kwa sababu dakika 90 ikuwa 1-1. Hilo ndio jibu sahihi na ni sheria na taratibu za fifa kwenye hatua ya mechi za mtoano lazima dakika 30 ziongezwe mshindi apatikane. Au una sababu zako mkuu???


Ni utaratibu ambao halali kabisa duniani kote sasa wewe endelea kuchapa domo wenzako wanamalizia kukata tiketi za ndege warudi kwao colombia
 
Ulitaka vigezo vipi ndio viwe sababu ya kwenda kwenye matuta.


England kafunga goli, wamesawazisha. Penalt wametoka. Sasa tatizo ni nini. Huo ndio mpira au ulitaka England kwa sababu anaongoza 1-0 mechi ndio iishe kabisa. Huo sio mpira na haitokuja kutokea mpira kuwa hivyo. Mpira ni vuta ni kuvute.


Kwa mtazamo wako huo hata game ya Jana ya Belgium vs Japan unaweza kuwa na hayo mawazo yako kuwa Beligium ni team ya hovyo.
Kwa hiyo Murphy akisema au kukataa goli kuna mabadiriko yoyote yatatokea kwenye mechi?? Hayo ni maoni yake k a ma wewe unavyotoa maoni yako hapa Jf. Na mimi unataka nikutajie English Football pundit ambao walilikubali lile Goli la colombia??? Andy Townsend alilukubali lile goli, haya hapo unasemaje sasa mkuu.


Acha kulebal maoni ya muongereza mmoja kuwa ndio waingereza wote.
 
Kwa mtazamo wako huo hata game ya Jana ya Belgium vs Japan unaweza kuwa na hayo mawazo yako kuwa Beligium ni team ya hovyo.
No Belgium ni timu nzuri sana. Juzi kama utakumbuka tulisema kuwa Japan wana kasi sana na hilo litawasumbua Belgium, ndivyo ilivyokuwa

Lakini Belgium walikuwa na energy, wakawa calm and composed hata baada ya kuchapwa 2
Walikuwa organized wakajua wapi wapo vulnerable, wakazuia na wakajua wapi wapite wakapita

Ile counter attack ilitoka kwa golkipa na viungo walikuwa tayari, Japan wakajikuta flatfoot

England ya leo ni low energy mkuu, hawakuwa na pattern na walikubali frustration zilizotengenezwa na Columbia kwa ubabe ubabe ziingie akilini mwao. Wakasahau PL

Hii mechi wangeshinda mapema kama wangekuwa organized. Walikuwa na advantage nyingi na hasa ya kadi. Beki akiwa na kadi ni uchochoro, England never seized that opportunity

Poor England
 
No Belgium ni timu nzuri sana. Juzi kama utakumbuka tulisema kuwa Japan wana kasi sana na hilo litawasumbua Belgium, ndivyo ilivyokuwa

Lakini Belgium walikuwa na energy, wakawa calm and composed hata baada ya kuchapwa 2
Walikuwa organized wakajua wapi wapo vulnerable, wakazuia na wakajua wapi wapite wakapita

Ile counter attack ilitoka kwa golkipa na viungo walikuwa tayari, Japan wakajikuta flatfoot

England ya leo ni low energy mkuu, hawakuwa na pattern na walikubali frustration zilizotengenezwa na Columbia kwa ubabe ubabe ziingie akilini mwao. Wakasahau PL

Hii mechi wangeshinda mapema kama wangekuwa organized. Walikuwa na advantage nyingi na hasa ya kadi. Beki akiwa na kadi ni uchochoro, England never seized that opportunity

Poor England
Kwahiyo usiposhinda mapema wewe sio team bora???

[emoji1]



Mkuu usiku mwema
 
Mechi imekwenda extra time kwa sababu dakika 90 ikuwa 1-1. Hilo ndio jibu sahihi na ni sheria na taratibu za fifa kwenye hatua ya mechi za mtoano lazima dakika 30 ziongezwe mshindi apatikane. Au una sababu zako mkuu???


Ni utaratibu ambao halali kabisa duniani kote sasa wewe endelea kuchapa domo wenzako wanamalizia kukata tiketi za ndege warudi kwao colombia
Hee kwani hilo ni mjadala?

Mjadala ni hawa England waliokuwa na kila advantage waka squander kutokana na kushindwa kuhimili misuko suko ya kisaikolojia, kutumia fursa. Kibaya zaidi walikuwa na low energy nikakumbuka Sengal

Low energy England is on the verge of collapsing
 
Hee kwani hilo ni mjadala?

Mjadala ni hawa England waliokuwa na kila advantage waka squander kutokana na kushindwa kuhimili misuko suko ya kisaikolojia, kutumia fursa. Kibaya zaidi walikuwa na low energy nikakumbuka Sengal

Low energy England is on the verge of collapsing
Advantage ipi unayoizungumzia aliyokuwa nayo England??? Ile ya wao colombia kukosa penalt na Dier Akaenda kuweka mpira kimiani na kuwarudisha nyumbani wauza cocaine hawa kutoka huko amerika ya kusini.


Hebu nikumbushe ni advantage ipi maana mimi naikumbuka hiyo ndio golden advantage england aliyokuwa nayo usiku huu. Hizo zingine ni mbwembwe tu
 
Wilshire sio arsenal tena, kaachwa, hana timu sasa hivi. Southgate alimuacha sababu hayupo ktk liwango.
Kama unaujua mpira utanielewa, wewe jana niambie kama uliona mipango yyt iliyotengenezwa na ndio maana nikasema Wilshare ana uhafadhali.
 
Back
Top Bottom