Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Mkuu Timu za Ulaya Kwa kukaba ni shida,mpira ukiwa upande wa Brazil unakuta beki ya Belgium ni kama Misitu pa kupita hamna.Neymar anafosi kupita kwenye Msitu ananyang'anywa kirahisi
Mbona Neymar alidhibitiwa na Murier tu, neymar anakipaji cha kukimbia na mpira tu na anaigharimu sana team yake yule mpumbavu
 
Neymar kinachomgharimu anakosa maarifa ya mpira hajui afanye nini wakati husika. Amerika ya kusini bado vipaji wanavyo, walilewa sifa tu kwa sababu ndiyo waliyokuwa wanatawala mpira wa miguu kwenye mashindano ya kimataifa. Kombe LA dunia hili litawaamsha kwamba wazungu wanafanya ukweli. Nina imani kombe la dunia litakalofuata tutashuhudia tusiyoyatarajia zaidi.
Umenena.kweli mkuu watu safari hii waliingia kazini
 
Mbona Neymar alidhibitiwa na Murier tu, neymar anakipaji cha kukimbia na mpira tu na anaigharimu sana team yake yule mpumbavu
Kulikuwa kuna kamsitu mkuu halafu beki za Ubelgiji zilijipanga vizuri huku viungo wao Hazard na De Bruyne wakifanya maajabu.Cha kushangaza hadi Fellaini jana aling'ara.Ila nilimmiss mno Casemiro jana
 
Mimi si shabiki wa Brazil lakini laiti Brazil wangelipanga kikosi chao vizuri Belgium angelitoka. Kipindi cha kwanza watatu ndiyo waliisumbua Brazil, De broune, Lukaku na Hazard. Kati pale Brazil walikosa kabisa kiungo De broune akawa anapita tu na wakampa jina kiuzembe jamaa akawànyoa. Angalia second half Brazil ndipo wakaamka alipoingia Ferminho, Augasto na Costa. Costa kawa wings tena anayezunguka uwanja na mwenye control ya mpira hali iliyomfanya Courtnho alirudi kuwa namba 8, Neymar 10 na Costa 7. Mpira ulibadilika mbona, Kocha wao angelikuwa na utambuzi ule basi tungeliyaongelea mengine.

Lakini upo sahihi, Mpira wa sasa ni wa kukaza sana history hazisaidii kitu. Nina uhakika the next world cup south Americans teams watakuwa completely different.
Kwanza asingemweka Neymar maana siyo game changer yule mpumbavu anajua kufanya madoido ya kishenzi tu na kudive wakati team inahitaji matokeo.
 
Kiukweli Neymar uchezaji wake hauna madhara angalia hazard akishika mpira ni full pressure kwa Brazil na hapokonywi mpira kizembe. Ukija kwa neymar huyu kinyume chake kabisa mpira anapokonywa kiulaini kabisa yaani hana madhara hata chembe ila kipaji anacho kuliko hata hazard mwenyewe. Tatizo hana consciousness ya kusoma wakati kwenye match na timu inahitaji nini.
Hana madhara anaweza akaingia kwenye 18 yeye na golikipa akataka afunge kwa kutumia matako ili aonekane kwenye TV Ujinga mtupu
 
Mimi si shabiki wa Brazil lakini laiti Brazil wangelipanga kikosi chao vizuri Belgium angelitoka. Kipindi cha kwanza watatu ndiyo waliisumbua Brazil, De broune, Lukaku na Hazard. Kati pale Brazil walikosa kabisa kiungo De broune akawa anapita tu na wakampa jina kiuzembe jamaa akawànyoa. Angalia second half Brazil ndipo wakaamka alipoingia Ferminho, Augasto na Costa. Costa kawa wings tena anayezunguka uwanja na mwenye control ya mpira hali iliyomfanya Courtnho alirudi kuwa namba 8, Neymar 10 na Costa 7. Mpira ulibadilika mbona, Kocha wao angelikuwa na utambuzi ule basi tungeliyaongelea mengine.

Lakini upo sahihi, Mpira wa sasa ni wa kukaza sana history hazisaidii kitu. Nina uhakika the next world cup south Americans teams watakuwa completely different.
Kukosekana Kwa Casemiro kuliicost pia Brazil kiungo jana kipindi cha kwanza kilipwaya mno.Japan walikuwa wajanja sana waliweza kuwadhibiti Ubelgiji vizuri lakini Brazil jana walipoteana kwenye kiungo.Atleast kipindi cha pili mpira uliamka.Brazil ana kikosi safi lakini kikosi kinakosa kiongozi.Huyu Neymar pia anaikosesha Timu morali
 
Kama Ubelgiji wakinyanyua ndoo Basi Eden Hazard uchezaji Bora wa kombe la Dunia unaweza muangukia
 
Kwanza asingemweka Neymar maana siyo game changer yule mpumbavu anajua kufanya madoido ya kishenzi tu na kudive wakati team inahitaji matokeo.
Asipobadilika hafiki mbali na kipaji chake kitapotea mapema sana hata Robinho wa Brazil walidhani naye atakuja kuwa successor wa Ronadinho hakuwa na mpira wa kijinga kama Neymar, itizame mechi ya kombe la dunia ya mwaka 2010 Brazil alitolewa na Hispania ila Robinho mpira aliyocheza ni mpira wa kazi. Anaonekana kabisa anatafuta goli baada ya Brazil kufungwa.
 
Asipobadilika hafiki mbali na kipaji chake kitapotea mapema sana hata Robinho wa Brazil walidhani naye atakuja kuwa successor wa Ronadinho hakuwa na mpira wa kijinga kama Neymar, itizame mechi ya kombe la dunia ya mwaka 2010 Brazil alitolewa na Hispania ila Robinho mpira aliyocheza ni mpira wa kazi. Anaonekana kabisa anatafuta goli baada ya Brazil kufungwa.
Mbappe atachukua balon d or kabla ya Neymar
 
Mbappe atachukua balon d or kabla ya Neymar
Akiongeza juhudi atakuwa ni tishio kweli lakini kuna wachezaji kama ferminho, Costa wa Brazil, Salaa, Coutinho, Hazard tena hazard ndiyo ulimwengu wake huu kwa sasa. Messi na Ronaldo tayari wameshafikia ukomo, akiweka msuli Tembo atachukua kabla ya hao wote tuliyowazungumzia.
 
Back
Top Bottom