Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Hivi waliopanga yale makundi walikuwa wametafuna bhange au?

Mbona mechi za upande mwingine huwa kali na za kuvutia ila hizi za England zimepooza namna hii?
Seriously nimeanza kuangalia mpira baada ya dkk ya 15 maana nilijua tu unaboa,nimefika imebidi nichati tu nashangaa HT!
 
Braza una maana gani unaposema easy games??

hizo tight games ni zipi???
Russa V Spain.....Germany V South Korea kama nimekuelewa vizuri kwako hizi ndio zilikuwa game ngumu isn't???

kama kombe la dunia lingekuwa rahisi hivyo leo hii Netherland, USA na Italy tungewaona humu.


Croatia ndio itakuwa mwisho wa England, hizi dodging za FIFA ndio zitafikia ukingoni
 
Braza una maana gani unaposema easy games??

hizo tight games ni zipi???
Russa V Spain.....Germany V South Korea kama nimekuelewa vizuri kwako hizi ndio zilikuwa game ngumu isn't???

kama kombe la dunia lingekuwa rahisi hivyo leo hii Netherland, USA na Italy tungewaona humu.
Taja game ngumu England aliyokutana nayo.
 
Hivi waliopanga yale makundi walikuwa wametafuna bhange au?

Mbona mechi za upande mwingine huwa kali na za kuvutia ila hizi za England zimepooza namna hii?
Seriously nimeanza kuangalia mpira baada ya dkk ya 15 maana nilijua tu unaboa,nimefika imebidi nichati tu nashangaa HT!
Kweli kabisa,upande huu wa England na Sweden haujachangamka kabisa
 
Hivi waliopanga yale makundi walikuwa wametafuna bhange au?

Mbona mechi za upande mwingine huwa kali na za kuvutia ila hizi za England zimepooza namna hii?
Seriously nimeanza kuangalia mpira baada ya dkk ya 15 maana nilijua tu unaboa,nimefika imebidi nichati tu nashangaa HT!
Uwanja umeinama, mpira unachezwa upande mmoja.
 
Njia aliyopita Liverpool mpaka anafika fainali za Champions league, ndio hiyo hiyo inapitia timu yao ya taifa. Hii ni kampeni ya kuirudisha England kwenye ramani ya football.

Dah Mkuu kwahiyo FIFA/UEFA wanashirikina na England kufanya upendeleo?

cc Malafyale rubaman
 
Kuna commentator kasema: it is frustration game to watch!! kisa huyu dogo[emoji28][emoji28][emoji28]
Andy Townsend ma Dwight York wamenoreka lweli ma hii gemu nao, hasa sweeden kuwa wanacheza mpira wa kiwango kibovu kabisa.
 
Hivi waliopanga yale makundi walikuwa wametafuna bhange au?

Mbona mechi za upande mwingine huwa kali na za kuvutia ila hizi za England zimepooza namna hii?
Seriously nimeanza kuangalia mpira baada ya dkk ya 15 maana nilijua tu unaboa,nimefika imebidi nichati tu nashangaa HT!
Upande ulikuwa safi sema timu nzuri zilicheza pumba Spain kutolewa na Russia
 
Back
Top Bottom