Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Mkuu kumbe na wewe ni Team God Save The Queen

Dah kipa kaokoa jahazi

IMG_20180704_165003.jpg

Huu mkeka ni wa tangu june 29, hapa nauangalia tu jinsi unavyopumua.

NB: Fainali nitakuwa France au Belgium.
 
mimi siamini katika kitu kinachoitwa easy games hasa katika katika mashindano makubwa kama haya
Ulimwengu wa soka unajulikana ijapokuwa unabadilika badilika. Mathalani sisi Afrika tumeshiriki lakini tulichokifanya ni kipi? Senegal akikutana na Belgium bila shaka matokeo unayajua ni yapi. England amekutana na timu zenye ushindani mdogo
 
Delle Ali anaipa Eng. goli la pili

Na ndio maana mpira unaonekana kupooza, coz Sweden hawaonyeshi ushindani wa maana, ni kama wamezidiwa.
Nawashangaa sana hawa Sweden leo sijui wakoje,
Hata hivyo ninachokiona hawa England wanacheza kulingana na kasi ya timu pinzani.
Ukiangalia walivyocheza na Colombia ni tofauti kabisa na leo kutokana na uchezaji wa Sweden wa kuzuia zaidi.
 
England wametambua Waswidish ni warefu na mipira ya kona inaishia kuokolewa, wanatumia mipira ya kati kupenya, hilo limewapa nafasi za kupenya. Tatizo ni kukosa kiongozi pale mbele

Harry Kane haonekani kuwa na impact
koncho77 narudia tena kusema, England wanafanya kosa kuanza kulinda kwa kuua kiungo
 
Nawashangaa sana hawa Sweden leo sijui wakoje,
Hata hivyo ninachokiona hawa England wanacheza kulingana na kasi ya timu pinzani.
Ukiangalia walivyocheza na Colombia ni tofauti kabisa na leo kutokana na uchezaji wa Sweden wa kuzuia zaidi.
Mkuu hata mimi nawashangaa, utadhani wao ndio wanaongoza.
 
Back
Top Bottom