Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Game over, thank you England for not turning me down.
freddie ljungberg, Gud johnsen, Larson na wengineo, hii ndiyo ilikuwa Sweden yenye afya kuliko hii Siku hizi na tangu the giant astaafu Sweden imeisha. Bado England sio timu akikutana na timu kama France au Belgium hata Croatia tu uangalie kitakachomtokea. Group lake lilikuwa mteremko.

Unakumbuka 2010 world cup England alikutana na Algeria na England wakapoteana kwa mpira wao wa kukariri? Wakatoka bilabila?
 
freddie ljungberg, Gud johnsen, Larson na wengineo, hii ndiyo ilikuwa Sweden yenye afya kuliko hii Siku hizi na tangu the giant astaafu Sweden imeisha. Bado England sio timu akikutana na timu kama France au Belgium hata Croatia tu uangalie kitakachomtokea. Group lake lilikuwa mteremko.

Unakumbuka 2010 world cup England alikutana na Algeria na England wakapoteana kwa mpira wao wa kukariri? Wakatoka bilabila?

Unachosema ni sahihi, sisemi nawakubali England ama kusema wanachukua Title, nnachosema kwa Sweeden ya leo na hasa ya msimu huu 2018 , game hii ya leo wamestahili Ushindi. Karata yangu next game naitupa kwa Croatia, Have seen them playing .. they are good enough to beat Russia.
 
Bado mechi mbili tuu, mbili tuu watu wanyanyue kombe lao

Hongera sana vijana wa England

Football is coming HOME
freddie ljungberg, Gud johnsen, Larson na wengineo, hii ndiyo ilikuwa Sweden yenye afya kuliko hii Siku hizi na tangu the giant astaafu Sweden imeisha. Bado England sio timu akikutana na timu kama France au Belgium hata Croatia tu uangalie kitakachomtokea. Group lake lilikuwa mteremko.

Unakumbuka 2010 world cup England alikutana na Algeria na England wakapoteana kwa mpira wao wa kukariri? Wakatoka bilabila?
Tutoleeni zilipendwa hapa. Hao Algeria hata kufuzu hawaja fuzu.
 
Toka mwaka 1990 pale Italy tulipotolewa na Germany ya Bert votigs ambayo ilikuja kunyakua kombe hatukuwahi kucheza nusu fainali mpaka hii leo. Hongereni mashabiki wa the three lions kwa kuiamini na kujivunia timu yetu. Siku zote husema tikiti bovu limo shambani mwako watuachie na timu yetu ya magazeti.
Safari hii tumeamua kukaa kimyaa, ndoo tunabebaa kimyakimya
 
Mwisho wa Juma Ikangaa"Mbappe"na mambio mambio yake ni leo
Giminez,Laxalt,Godin na Ceceres huwezi pata nafasi hiyo ya kukimbia kimbia!
Mwisho wa huyu anaye ng'ang'ania sana jabulani kama ni ice cream Neymar pia ni leo
Belgium hawawez shindwa vikongwe Brazil,beki mwenye umri mdogo anaye anza ana 30!
Uruguay na Belgium watapita!!
Apo ulipatia moja tu ..hongera!
 
Hello.
Bila shaka mko poa. Ni masaa machache yaliyobaki hapo saa 3:00 usiku Brazil kutupa raha tunayoitegemea siku ya leo.(BRA vs BEL)

Mamilion ya watu tuna hamu sana,kuona brazil wakifanya yao, na nina imani brazil watafanya vizuri iwapo watazingatia haya machache.

1: Ni lazima wapate goli la kwanza ndani ya dk 15 za mwanzoni ikishindikana basi kipindi cha kwanza tuwe na goli.
2: ni lazima wakabe mwanzo mwisho, wawe makini na makosa ya kizembe eg. Wasiruhusu penalty kwa mpinzani. Hii ni mbaya sana.
3: wasiruhusu mpira uchezwe dk 120 hii sio salama hata kidogo.

4: sina shaka na Neyma na team mzima, brazil ya sasa ni bora kuliko ya 2014,nina imani nao, la muhimu, wacheze ki- team. sio lazima Neyma afunge yeye anaweza kuwa sababu ya mwenzake kufunga hiki ndicho cha muhimu.tunachokitaka ni ushindi.
# leo ni siku mbaya kwangu nina wasiwasi sijiamini. Lolote la kutokea nitaumia/nitalia sana. Mungu atasimama upande wangu.wapinzani wangu wote wanasubiri muda ufike ee mungu simama upande wangu.

Matokeo:

Kipindi cha kwanza dk ya 11 bra 1- 0 bel
Kipindi cha pili dk ya 54 bra2- 0bel.
Kipind cha pili dk ya 87- bra 2-1bel
Dakika za nyongeza zitakua 4/5 bra 3-1 bel.
Mchezo kwishaaaa

Hii ndiyo raha ninayoitegemea leo.
Kama una cha kuchangia karibu.

All the best Brazil.
Hahahaha natumai ulilia sana.
 
Dah Mkuu kwahiyo FIFA/UEFA wanashirikina na England kufanya upendeleo?

cc Malafyale rubaman
Uingereza soka limekua wala sio upendeleo!
Mbona bracket aliyopo Uingereza pia alikuwepo Spain?
Spain mbona katolewa ktk bracket hiyo hiyo unayo iita rahisi?
England all the way to the final,na kama Belgium atatolewa na France basi bingwa ni ama Croatia au England
 
Back
Top Bottom