Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Russia World Cup 2018: France crowned World Champions after defeating Croatia 4-2

Hujui mpira hata kidogo.


Mimi tangu utoto wangu nasapot England. Unaposema England ni team ya magazeti unamaanisha nini ? Niambie ni team ipi duniani haiandikwi na magazeti yao. Issue ni nyie kufuatilia vyombo vya habari vya england. Kwanini msifuatilie magazeti ya spain au france anadhani huko hakuna magazeti?? Spain kuna gazeti kuna la michezo linaita Macca, France lipo pia linaloitwa Le Elquipe na German lipo Bild. Sasa si muende kuyasoma hayo magazeti na mtuachie Daily Mail,The Sun na magazeti mengine mengi kutoka kisiwani kwetu.


Issue ni kwamba kwenye mpira wa miguu vyombo vya habari vyenye nguvu duniani vipo uingereza ndio maana hata hawa wakina edo na shaffih dauda taarifa zao ni copy and paste kutoka sky sports,BT sports, BBC au Magazeti lukuki ya huko.




Halafu suala la sisi kuwa kundi jepesi huo ni ujinga. German alitolewa na Korea kusini ambae alikuwa ameshaaga mashindano.


Naona mnazidi kuhamisha magoli. Mlianza timu haitavuka makundi, ikavuka. Mkaja kusema haitafuzu 16 bora,ikafuzu. Mkasema haifika robo, ikafika. Mkasema haigusi nusu , imetusua. Hivi hamuoni aibu nyie wanafiki na wazandiki,wachawi wakubwa????




Mtu mzima unakuja na hoja eti england alikuwa kundi jepesi, ila hamsemi Belgium kuwa na yeye alikuwa kundi hilohilo. Belgium wala hamumzungumzii.

Halafu wengi wenu ni wajinga na hamna exposure ya mpira. Mwaka 2002 unajua kuwa brazili alikuwa kundi moja na china?? Mbona hamsemi alikuwa kundi bovu. Acheni utaahaira. Mpira wa sasa hauna mambo ya historia na majina. Mlitegemea timu zenu za Brazil, Argentina,ureno, Spain au German zingefuzu na kutamalaki hatua ya nane bora. Mambo hayakp hivyo.


Hakuna mtu alidhani urusi ingefika hapo ilipo kwa kiwango ilichokuwa nacho kwenye friend matches zake zote lakini naona umeona walipofika.


Kwa taarifa yako england kwa sasa ndio ina mafanikio kwa mashindano ya vikombe vya timu za vijana. Kama wewe ni shabiki wa mpira unaelewa ninachomaanisha. Na unajua engr mwaka jana kabeba kombe lipi na lipi.


Ifike muda muache unafiki na mkubali tumewaprove wrong kwa team hiyo ambayo goli kipa wake tu Jordan Pickford anakipiga Everton wakati kocha alipomuacha Joe Hart mashabiki maandazi kama nyie mnaoangalia majina mlifikiri pickford ni shati.


Mashabiki viazi kama nyie alipoanza kuchezeshwa Harry Maguire (Leicester city) na kumpigisha Benchi Beki kisiki na experienced wa chelsea mlijua Maguire ni shati. Wengi hawaamini. Mifano ni mingi mno.


Kocha Southgate Alipomuacha Wilshere sio wewe tu hata pale Viunga vya jiji la london maneno ya chini kwa chini yaliibuka kuhusu kuachwa kwake. Nyie hamuijui England kaeni kimya.


Mchezaji aliechwa England nikaumia ni Jonjo Shelvely na Towvosk. Sijui kama unawafahamu.




KamA umefuatilia Bundesliga mwaka huu nina vijana wawili wa kiingereza wameuwasha moto balaaaaaaa. Kwa kukusaidia tu wote walikuwa kwenye kikosi cha England under17 kilichotwaa kombe la dunia mwaka jana chini ya captain Andre Gomes anaekipiga pale Manchester United. Sijui shabiki ukwaju kama wewe unayajua haya.



Tukutane nusu fainali.
Kaka achana na hawa mashabiki maandazi.
Mwenye mpira wake kaamua, sasa naona wanapata tabu sana.
 
France Bingwa KOMBE la dunia kwa Mara ya pili 1998 na mwaka huu 2018
 
Mwenzenu hiki ndicho kimemtokea, ubishi ubishi kama wenu kuwa England hafiki kokote matokea yake DAvid Beckham "Becks" atanlisha chips huku akiwa katinga uzi wa England ndani ya uwanja wa taifa wa Wembley uliopo pale london HA9 0WS, UK.


IMG_20180708_111835.jpg
 
Hiyo ndiyo tafsiri ya mpira na ndiyo dhana nzima kuhusu upinzani na ndicho kitu kinacholeta ladha.

Mheshimiwa huu upangaji wa timu kwa viwango vya FIFA world ranking procedure nani aliyekuambia upo hivyo kama unavyoweka wewe?
Wewe naona nikuache tu.
 
Wewe umekuja hapa unatuongopea England ipo 4 bora kwa viwango vya FIFA. Hii takwimu umeitolea wapi wewe. Mimi naandika kwa kutumia ushahidi wa kihistoria, wewe hufanyi hivyo zaidi ya kusema Nina chuki binafsi.

Ulimwengu wa soka unajulikana kwa watu wanaofatilia soka. Na ukitaka uchambuzi uliyokuwa mzuri usitumie hisia tumia facts.
Wewe uwezo wako wa kusoma na kuelewa ni mdogo sana. Nimekwambia FWC 2018 ngoja nikutafsirie Fifa World Cup 2018 timu nne bora ni Belgium,Croatia,England na France. Hii ni fact na katika hizi ndio tutapata bingwa wa FWC2018.
 
Back
Top Bottom